<br />samehe kadri ya uwezo wako ila pima kosa lenyewe sio kila siku misamaha isiyoisha mtu huyohuyo kosa lilelile
Ni maneno mawili ambayo mara nyingi hutolewa na mtu anapokosea,
Tuzungumzie kwenye mapenzi
Unapokuta labda gf/bf/mume/mke wako anafanya kosa akakuomba msamaha unaweza kujisikia amani kwa kuwa mkosaji amekiri na kutambua kosa lake, hapo unaweza kumsamehe kwa moyo mweupe kabisa.
Lakini inakuwaje ukiwa na mpenzi anaeomba sana misamaha? Hapa namaanisha kila siku anakuwa anafanya makosa na kukuomba msamaha akisema harudii tena lakini hazijapita siku mbili kosa lingine, ukimweleza o sweety nisamehe sitarudia, unamsamehe, siku kadhaa tena kafanya kosa tena anaomba msamaha,
swali, hawa watu wanaokuwa warahisi wa kutenda makosa na kuomba misamaha kila siku wanafanya makusudi wakijua watasamehewa au?
<br />Mi huwa sikubali samahani kirahisi rahisi namwacha ateseke mwaka mzima ndo nimsamehe
<br />
<br />
mwaka? Unakuwa unampend kweli? Je, akibebwa ilhali bado unampenda itakuaje???
<br />Sijawahi kupenda mimi nacho jua nikumega tu
mhh daily nisamehe kwa kosa lilelile?
iyo dharau..na anakuwa amaanish samahan zake cz anajua akiitamka tu sweetie nisamehe we unajibu ahh poa yamekwsha....MTU AKISEMA SAMAHAN INAMAANA STARUDIA KOSA ILO..
UYO WA SAMAHAN THEN KESHO TENA KARUDIA TENA NA TENA ...mhh kaa nae akueleze kwwa mapana ugumu wa kuacha io tabia...lazima kuna sababu la sivyo asingekubali kuendelea kukuuzi kwa kosa moja dail..pole
<br />
<br />
ila mtu wangu kuna wengine huwa ni wakali hadi unaona bora upotezee baadhi ya makosa, sasa we ukijifanya unamringishia itakula kwako, inaweza kuwa ka Bow wow na 50 dhiti ciara.
<br />Chapa bakora harudii tena kuomba omba msamaha..
<br />Usihesabu makosa ya mjoli wwa bwana!
<br /><br /><br />
<br /><br />
assume imetokea hivyo utafanyaje?
<br /><br /><br />
<br /><br />
Ikitokea naombwa msamaha kwa kosa hilohilo miaka nenda rudi inategemea na kosa ukubwa wake,kama ni kubwa sana nitahitaji kikao kirefu sana kabla ya msamaha na masharti kibao
<br />so unaeza kuishi bila kukosea?jibu samehe tu maana makosa tunafanya sometimes bila kukusudia
<br /><br /><br />
<br /><br />
kama unajua kukosea ni given kwanini uombwe msamaha. mimi nafikiri tofauti