First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,310
- 1,473
Ni maneno mawili ambayo mara nyingi hutolewa na mtu anapokosea,
Tuzungumzie kwenye mapenzi
Unapokuta labda gf/bf/mume/mke wako anafanya kosa akakuomba msamaha unaweza kujisikia amani kwa kuwa mkosaji amekiri na kutambua kosa lake, hapo unaweza kumsamehe kwa moyo mweupe kabisa.
Lakini inakuwaje ukiwa na mpenzi anaeomba sana misamaha? Hapa namaanisha kila siku anakuwa anafanya makosa na kukuomba msamaha akisema harudii tena lakini hazijapita siku mbili kosa lingine, ukimweleza o sweety nisamehe sitarudia, unamsamehe, siku kadhaa tena kafanya kosa tena anaomba msamaha,
swali, hawa watu wanaokuwa warahisi wa kutenda makosa na kuomba misamaha kila siku wanafanya makusudi wakijua watasamehewa au?
Tuzungumzie kwenye mapenzi
Unapokuta labda gf/bf/mume/mke wako anafanya kosa akakuomba msamaha unaweza kujisikia amani kwa kuwa mkosaji amekiri na kutambua kosa lake, hapo unaweza kumsamehe kwa moyo mweupe kabisa.
Lakini inakuwaje ukiwa na mpenzi anaeomba sana misamaha? Hapa namaanisha kila siku anakuwa anafanya makosa na kukuomba msamaha akisema harudii tena lakini hazijapita siku mbili kosa lingine, ukimweleza o sweety nisamehe sitarudia, unamsamehe, siku kadhaa tena kafanya kosa tena anaomba msamaha,
swali, hawa watu wanaokuwa warahisi wa kutenda makosa na kuomba misamaha kila siku wanafanya makusudi wakijua watasamehewa au?