fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 6,551
- 9,032
Hahaha mzee wangu huna dogoDada mmoja,nilimsaidia shida yake kubwa sana,ambayo hata hapa natetemeka kuiweka,ndipo aliponitizama usoni na kuniambia,naomba nikupe zawadi ya uchi Nilimtizama usoni,nikamjibu asante.Nikasimama nikaondoka.Hiyo ni miaka 30 iliyopita.Leo nikiwa rockcity nimepumzika baada ya kufanya manunuzi,nasubiri usafiri namuona mama mmoja anatembea polepole akishikiliwa na dada mmoja ambae nahisi ni mwanae.Yeye wala hakunijua ila mimi nilimtambua,wakanipita wakaa kwenye hilohilo benchi nililokaa,huku wanaongea.Nikamsamu Fortu hujambo?Akageuka kunitizama,baada ya dakika kama 3 hivi akanitaja jina,basi sote tulitoka machozi,yule binti akabaki kututizama
Condom zipo.Pole sana ukiponea chupuchupu kuungwa gridi ya taifa
Hahaha zinatumika? Au zinapigwa vumbi mdukani tu?Condom zipo.
Sasa kama yeye hakuungua,mimi angeniunguzaje!Pole sana uliponea chupuchupu kuungwa gridi ya taifa
We acha tuHahaha mzee wangu huna dogo
Kuzawadiwa kizembe zembe sio poaSasa kama yeye hakuungua,mimi angeniunguzaje!
Pole sana ukiponea chupuchupu kuungwa gridi ya taifa
Hawa wanawake wa ckuiz wamekauka nyuso hawana soo kbsa😂Sema ile mwanamke kukuchana direct nikupe inaogopesha bora akupe signal tu afu muhuni ujiongeze.
Kuna shida inamkuta mtu na haanini kama anaweza kutokea mtu kumsaidia,bila masharti,anaweweseka.Nami japo kipindi hicho nilikuwa sina msamaha na nyuchi,huyo mdada nilisita kumlaSema ile mwanamke kukuchana direct nikupe inaogopesha bora akupe signal tu afu muhuni ujiongeze.
Sure mzeeSema ile mwanamke kukuchana direct nikupe inaogopesha bora akupe signal tu afu muhuni ujiongeze.
Soma vizuri huyo sio mwanamke wa siku hiziHawa wanawake wa ckuiz wamekauka nyuso hawana soo kbsa😂
Naomba nikupe zawadi ya uchi leo🥺🥺🥺Dada mmoja,nilimsaidia shida yake kubwa sana,ambayo hata hapa natetemeka kuiweka,ndipo aliponitizama usoni na kuniambia,naomba nikupe zawadi ya uchi Nilimtizama usoni,nikamjibu asante.Nikasimama nikaondoka.Hiyo ni miaka 30 iliyopita.Leo nikiwa rockcity nimepumzika baada ya kufanya manunuzi,nasubiri usafiri namuona mama mmoja anatembea polepole akishikiliwa na dada mmoja ambae nahisi ni mwanae.Yeye wala hakunijua ila mimi nilimtambua,wakanipita wakaa kwenye hilohilo benchi nililokaa,huku wanaongea.Nikamsamu Fortu hujambo?Akageuka kunitizama,baada ya dakika kama 3 hivi akanitaja jina,basi sote tulitoka machozi,yule binti akabaki kututizama
Nami sikumjibu bali niliondokaNaomba nikupe zawadi ya uchi leo🥺🥺🥺