Mkuu usinikumbushe habari za Kinape Nape.........!
mwombe mwenyewe atakua nayo. Sisi tukae na cv ya nape ya nn?
Ninachojua alipokea pesa za EPA toka kwa Jitu Patel. Full stop. Mwizi ni Mwizi hata kama ni profesa.
alipata degree India
yesu na maria!!alipata degree India
Wanajamvi naomba mwenye wasifu wa katibu wa uenezi na itikadi wa CCM Bw. Nape Mnauye anirushie.Maana nimekuwa nikifuatilia hoja na kauli zake nashindwa kumwelewa kabisa, ni porojo tu. Msaada please.
Degree yenyewe ni kutoka chuo ambacho sifa zakr ni kama vetaalipata degree India