TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,768
- 4,033
precisely!!so kwa kifupi ni "Msanii"??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
precisely!!so kwa kifupi ni "Msanii"??
Umenena mkuu TUKUTUKU,natamani nikutwange na Thanks lakini ilishayeyuka.Nafikiri huelewi maana ya CV!CV inaonyesha mambo mengi zaidi ya masuala ya elimu.Kwa mfano Jina kamili,tarehe halisi ya kuzaliwa,wapi alizaliwa,kabila lake,uzoefu wake katika shughuli mbalimbali,anapendelea mchozo gani,anaweza kuzungumza lugha gani na lugha gani hawezi!mambo yote hayo na mengine yakijumuhushwa ndiyo tunapata CV.Sasa kuna ubaya gani watu kuulizia CV ya mtu?kwa nini watu wakiuliza CV ya mtu hujengeka hisia kuwa watu wanataka kujua kama amesoma au hajasoma wakati CV huonyesha masuala mengi?Tubadilike jamani,tuache fikra potofu!!!
profesa chachage alisema uprofesa bila mchango wa maana kwa ya jamii ya watanzania ni bure. Sasa cv ya nape ukijua itasaidia nini hata kama ana phd 10? Uwezo wa nape kiungozi na busara yake nazijua. Sihitaji cv yake kwa sababu haibadilishi imani yangu kwake.
Ninachojua alipokea pesa za epa toka kwa jitu patel. Full stop. Mwizi ni mwizi hata kama ni profesa.
Eti jamani?Na naona siku hizi kaja na strategy mpya ya vyombo vya habari kuviweka sawa.mbona kimya inamaana hakuna anaye fahamu cv yake humu jamvini???????????????
<br />Ana degree ya politics ya wk 2 kutoka beijgin na vilevile ana masters ya ccm ya chamwino ya wk 1 na dessertation ya siku 3
<br />.......and they did what!!!??? I am totally shocked!
<br />degree yake ya sanaa ni sawa na leseni
<br /><font color="#0000ff"><b>hajawahi kufika chuo kikuu chochote,<br />
hata kuutubia tu!<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/biggrin1.gif" border="0" alt="" title="Biggrin1" smilieid="129" class="inlineimg" /></b></font>
<br />Kweli maishani usiombe uwe kiongozi ovyo! Utadharaulika kweli kweli!
<br />Inasemekana Ni mtoto wa nje ya ndoa wa mzee Mnauye,(KAMA NI KWELI ) ALIZAA NA MAMA MMOJA WA IRAMBA MAENEO YA IAMBI JINA LAKE NI<b> Napegwa</b><br />
yaani Mungu amenipa ! haijulikana kama mzee alimtunza kwa hiari au kupitia ustawi wa jamii!
<br />yesu na maria!!
Kwa hakika mimi sijawahi kumuelewa.He is a fool, anachoongea hadharani ni upupu mtupu ambao anauelewa yeye na mama yake tu
Jamani ndio imeshashindikana kupata hiyo RESUME yake?<br />
<br />
NA YOSEPH!!!!
INGINE ALIIPATIA BANGLADESH
<br />Jamani ndio imeshashindikana kupata hiyo RESUME yake?
nasikia akiwa mdogo alifanyiwa molestation ndiyo maana akili zake haziko sawa kichwani