Wakuu mimi nasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume kwa muda mrefu. Nimejaribu kutumia dawa nyingi sana za kienyeji pamoja na vyakula bila ya mafanikio.
NImejaribu kutumia vumbi la congo pia limenitupa mkono.
Sasa nimebakisha mawili tu. Nimenza mazoezi takriban wiki ya pili sasa na naendelea nayo lakini bado hukuna dalili yoyote ila sitegemei kuacha.
Na la mwisho ni kujaribu kutumia hizi dawa mana hali imekua mbaya kijamii, heshima yangu ipo kwenye lowest point kabisa.
Naomba muongozo na effect zake niweze kuzielewa kabisa.
Nimekua na wasiwasi mkubwa juu hizi dawa mana nimeshasikia sana mitaani kama zishaua watu, na ndiomana mpaka leo bado nimekua nasitasita.
NImejaribu kutumia vumbi la congo pia limenitupa mkono.
Sasa nimebakisha mawili tu. Nimenza mazoezi takriban wiki ya pili sasa na naendelea nayo lakini bado hukuna dalili yoyote ila sitegemei kuacha.
Na la mwisho ni kujaribu kutumia hizi dawa mana hali imekua mbaya kijamii, heshima yangu ipo kwenye lowest point kabisa.
Naomba muongozo na effect zake niweze kuzielewa kabisa.
Nimekua na wasiwasi mkubwa juu hizi dawa mana nimeshasikia sana mitaani kama zishaua watu, na ndiomana mpaka leo bado nimekua nasitasita.