James Martin
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,206
- 1,509
Kwanza napenda kumpongeza mama yetu mpendwa Mh. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anayoifanya.
Kitu kingine ningeomba sana mshahara wa Rais upandishwe tena uwe angalau kama enzi ya Rais Kikwete.
Magufuli alijishushia mshahara lakini lazima tujiulize, je alikuwa anauhutaji? Kwa kuanza tu mpwa wake ndiye aliyekuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha.
Pili, kampuni ya Mayanga Construction ni ya mtu ambaye alioa naye nyumba moja na ndiyo iliyopewa tenda ya kujenga uwanja wa ndege wa Chato. Lazima pia ikumbukwe zabuni ya hiyo tenda haikutangazwa kwenye vyombo vya habari na wala pesa ya mradi kuidhinishwa na bunge.
Kwa mfano tunapata Rais bilionea akajipunguzia mshahara, je hii ni haki kwa Rais ajaye? Kumbuka kwamba nimesema kuwa nafikiri Magufuli alikuwa hahitaji pesa za mshahara.
Kitu kingine ningeomba sana mshahara wa Rais upandishwe tena uwe angalau kama enzi ya Rais Kikwete.
Magufuli alijishushia mshahara lakini lazima tujiulize, je alikuwa anauhutaji? Kwa kuanza tu mpwa wake ndiye aliyekuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha.
Pili, kampuni ya Mayanga Construction ni ya mtu ambaye alioa naye nyumba moja na ndiyo iliyopewa tenda ya kujenga uwanja wa ndege wa Chato. Lazima pia ikumbukwe zabuni ya hiyo tenda haikutangazwa kwenye vyombo vya habari na wala pesa ya mradi kuidhinishwa na bunge.
Kwa mfano tunapata Rais bilionea akajipunguzia mshahara, je hii ni haki kwa Rais ajaye? Kumbuka kwamba nimesema kuwa nafikiri Magufuli alikuwa hahitaji pesa za mshahara.