Naomba msada Kwa ugonjwa huu

fkawogo

Senior Member
May 30, 2013
131
37
Nina shamba la migomba lkn ghafla nimeshangaa kuona mgomba mmoja uko tofauti Kwa ukuaji Na majani ya nimefatilia ktk mitandao nikaona Wana sema ugonjwa huo unaitwa (banana bunchy top disease) Sasa sijaelewa vizuri namna ya kuutibu naombeni msaada wenu wanajukwaa

Banana_Bunch_Top_Virus.jpg
 
Nataka kuwa_tag madaktari wa mimea hila siwafahamu humu jukwaani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom