cutie bee
JF-Expert Member
- Oct 18, 2014
- 206
- 70
anakulwa kabla ya ndoa, ashakuwa na wanaume kibao ambao mahusiano yalishindikana.. HUYO SIO MALAYA?
kingine huyo dada inaonekana ni minder wa vitu vidogo vidogo... sasa ukute huyo bf wake anamwita just kama utani wa mtu na demu wake (intimate style) ila yy keshaumia...
aangalie asije kufa kabla hajaolewa kwa mambo madogo madogo....
bahati yake hajakutana na mimi.... mahusiano yangekufa na siku tatu...
kwahiyo km uhusiano wa kwanza umefeli asuse tu asiwe na mwanaume mwngne eti kisa umalaya?mapenz hayasuswi ndugu ni km siti ya daladala ukishuka ww mwenzio anakaa mambo yanaendelea ili mradi muelewane....na kutoa papuchi kabla ya ndoa si umalaya n makubaliano tu afu wenye ndoa ndo wanaongoza kwa kuchapa na kuchapwa nje ndoa haina heshima siku hizi.