Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,118
- 165,390
Tatizo huyo anataka kuishi na mme kikauuuzu kwa mwamvuli wa heshima huyo ni mme au ba mkwe?Hahahahaaaa lol ila mbona raha tu
Tatizo huyo anataka kuishi na mme kikauuuzu kwa mwamvuli wa heshima huyo ni mme au ba mkwe?Hahahahaaaa lol ila mbona raha tu
we tena unaweza kunifaa kabisa....
Halafu wewe!!!!!!!!!!!ajaribu kwenda nae sawa tu akiambiwa "upo wapi we malaya" ajibu "nipo .... njoo basi malaya wangu miss u"
baada ya muda watakuwa sawa tu mbona vitu vidogo hivo mi naona ni kachumbari tu za mapenzi!!!
nmekumbuka siku 1 ma mkwe anantambulisha kwa shoga ake huyu ni "mwali wangu" ha ha ha mme wangu kichinichini akasema "mwali wapi mseng* huyu" ha ha ha mi naona sawa tu ilimradi asiniite hvo mbele za watu lol....
Mbwa ukimjua jina hakusumbui,ajue hiyo ndio tabia halisi sasa ya mtu wake. Kama amejaribu kumrekebisha ikashindikana basi ana hiari ya kujiongeza achukulie poa au kama hawezi kabisa achape lapa!!!
Mbona kila mara waleta jamvini matatizo ya wenzako tu ndugu??
ajaribu kwenda nae sawa tu akiambiwa "upo wapi we malaya" ajibu "nipo .... njoo basi malaya wangu miss u"
baada ya muda watakuwa sawa tu mbona vitu vidogo hivo mi naona ni kachumbari tu za mapenzi!!!
nmekumbuka siku 1 ma mkwe anantambulisha kwa shoga ake huyu ni "mwali wangu" ha ha ha mme wangu kichinichini akasema "mwali wapi mseng* huyu" ha ha ha mi naona sawa tu ilimradi asiniite hvo mbele za watu lol....
unajua nasty zikiwa kwa kizungu ndo zinapendwa zikiwa kwa kiswahili zinaonekana matusi makubwa, kuwa b i t c h kwa bebe si ndo habare you know wora m saynHivi nasty words ni zipi tena......?......na vile kuwa b i t c h kwa mpenzio ni nongwa......?.......nataka tu nijue........
unajua nasty zikiwa kwa kizungu ndo zinapendwa zikiwa kwa kiswahili zinaonekana matusi makubwa, kuwa b i t c h kwa bebe si ndo habare you know wora m sayn
Sasa hii thread sijajua shida yake.......unaweza niambia kwa ufupi.......?