Naomba msaada wenu jamani katika ushauri, mimi nimeshindwa

Naomba msaada wenu jamani katika ushauri, mimi nimeshindwa

mapenzi ni kitu cha ajabu.. mimi nilikua na mupenzi yeye ndo alikua mamaa wa mitusi mbona tulikwenda sawa... akikuita malaya we muite muasherati,,
 
Dawa ya moto ni moto, akiita malaya unamwita malaya dume au kahaba kabisa .lol
 
Mahusiano ni vile mtakavyoendana.
Kuna wengine majina ya matusi kwao ni sawa na kuna wengine hata kumuomba mume maji ya kunywa ni tusi tena tusi baya.

Kama nimeelewa huyo dada kinachotokea kwake sio tu kuitwa hayo majina ila hayapo kimahaba na anahisi haheshimiwi tena.
Hali imebadilika.

Nampa pole tu ila maana hivi vitu vigumu!!!!

Yani nikushauri wewe halafu wewe ukamshauri yeye??
Parefu.
 
Naona jamaa ajakosea hata kidogo maanaalitumia/anatumia maneno hayo kama kivumishi cha sifa kwa mpenzi wake.
 
Huyo mwanaume ni f.ala na mngese kweli sijui kayapata Wapi hayo matusi !!!!
 
Labda tuanze na huyo rafiki yako...yeye anaweza asiwe anajijua lakini wewe kama third party unamjua...
Ana tatizo gani mpaka kila siku anakutana na ghalasha na kutemwa ndani ya muda mfupi ? (maana na hapa naona anaelekea huko huko alikotokea...kwenye kubwagwa/ kubwaga)

Chunguza kasoro zake afu anza nae...hao wanaume hawezi kuwabadili ila anatakiwa yeye abadilike...
Atakuwa na kasoro zinazompelekea kuvutiwa na wanaume ambao ni ndivyo sivyo...
 
Ila kuna watu wanatukana...kuna mtu na mkewe ni watu wenye heshima kubwa kwa jamii lakini wife alikuwa anafanya kazi na dadangu...mumewe akiwa masomoni alikuwa anampigia mkewe simu afu anamuuliza..."huko na nani wewe malaya"...

Ila huyu wife malaya kweli...na mmewe ana wivu alichobaki afanyeje kama si kutukana ukizingatia yuko mbali na anajua kwa jinsi alivyomuokota mkewe lazima anasaidiwa...(mkewe alikuwa anashikilia chat ya umalaya huko college...afu mzuuuri...ila alipomuoa watu walishika vichwa ...maana mumewe swala tano kijana wa watu)

Huyu wife alikuwa ndio kwanza anacheka na kumsimulia dadangu kila akikata simu jinsi mumewe anavyomuita malaya...
 
na mimi mume wa mtu pia.. tunachepuka tu na kuitana we mchepuko njoo hapa nina hamu na hiyo maku yako... na yy anakuja huku anafuraha ya ajabu..

we sio mzima.. mi sipendj matusiii.. kiruuu ukitukana naeza kukupiga na chochote kilicho mbele yangu
 
Aah, mi mtazamo wangu naona hayo sio matusi bali ni vinogesho katika mapenzi. Unajua katika mapenzi heshima unayoizungumza sio ya kihivyo. Eti unakuta mwanamke anamuita mume wake 'Mwenyekiti hebu njoo, wakati wapo nyumbani wala hainogi. Mi binafsi nikiambiwa na mpenzi wangu, we malaya wangu njoo niku-t-o-m-b-e, dah najisikia raha sana hadi genye zinapanda kabla hata--. Heshima ina mipaka yake, lkn ikifika suala la mapenzi no boundaries. Ukimuheshimu sana mpenzi wako utamuogopa na ukimuogopa huwezi kumfanyia mavituuuus.
 
Aah, mi mtazamo wangu naona hayo sio matusi bali ni vinogesho katika mapenzi. Unajua katika mapenzi heshima unayoizungumza sio ya kihivyo. Eti unakuta mwanamke anamuita mume wake 'Mwenyekiti hebu njoo, wakati wapo nyumbani wala hainogi. Mi binafsi nikiambiwa na mpenzi wangu, we malaya wangu njoo niku-t-o-m-b-e, dah najisikia raha sana hadi genye zinapanda kabla hata--. Heshima ina mipaka yake, lkn ikifika suala la mapenzi no boundaries. Ukimuheshimu sana mpenzi wako utamuogopa na ukimuogopa huwezi kumfanyia mavituuuus.

nooo sikubaliani na wewe bhana, kuna mipaka ya utani au kuitana nasty names my dear.
uwez muita mpenz wako we Malaya au wewe matako makubwa niletee maji ya kunywa hata mkiwa wawili ndani..
kuna jinsi ya kum approach mpenz wako kwa mfano...unampigia simu.."hello mpenz uliyejaliwa na muumba ,uko wapi?? jamani darling nipo shambani nachuma zabibu...OK uje basi Leo home Nina hama kweli jamani...hama ya nini tena mpenz.....jamani mpenz Wangu si unajua umejaliwa makali makubw yaani siish kuyatamani mmmmhh...something like that yaani hata yy Ana kuwa proud of her self ..
 
Mimi mtu kama huyo hatuwezi kwenda sawa hata siku moja. Neno malaya kwangu haliwezi kuwa romantic kabisa.
 
Back
Top Bottom