Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 20,143
- 61,601
Hahaha.........Kwa kweli, hata Mimi naona 😜Nimekula chumvi nyingi babu😂
Hahaha.........Kwa kweli, hata Mimi naona 😜Nimekula chumvi nyingi babu😂
Sasa nimetamani kivipi wakati ni uhalisia?Sio mimi ni wewe😂
Sijasema nimezaliwa elfu 2 kwenye huu uzi
Wewe ndo umesema😂
Kwanini umetamani kuzaliwa elfu 2 naomba unijibu?
🤣🤣🤣 Eti bhana
Lakini si ulipiga na kuongea nae?Naam simu kumbe alikuwa nayo mwanaume, na ndo niliyechart nae
Muogope Mungu🤣🤣Sababu ya wewe kutaka kujizuru ni ipi hapo?
Watoto wa 2000's mnadeka sana🚮
Na wewe ni mtoto wa elfu 2?Muogope Mungu🤣🤣
Naseema ushindwee na ulegeee katika jina la Yesu!!Na wewe ni mtoto wa elfu 2?
Hongera! Hivi vitoto vya buku 2 vinapenda kujiliza sanaNaseema ushindwee na ulegeee katika jina la Yesu!!
Narudia tena
Nasema ushindwee na ulegeee katika jina la Yesu!
1. Jamaa ana wivu wa kijinga, so wakati ndugu yako anakuongelea kwako, yeye akahisi unatoka nae, akafanya kila njia akutafuteNinazo ndugu yangu, wao ndo walianza kunitafta hata namba zao sikuwa nazo, na wao ndo walianza kuleta mada za mapenzi, sema mwisho me ndo nikajimaliza
Mungu awasaidie kwa kwelHongera! Hivi vitoto vya buku 2 vinapenda kujiliza sana
😃 ujasusi sio kazi nzuri MkuuSasa nimetamani kivipi wakati ni uhalisia?
Mimi humu nilishakuwa mzee wa miaka 57, nishakuwa kijana wa 34, nishakuwa wa 90's na sasa nipo kwa 2,000's.
Kuzaliwa 2,000's sio dhambi na sio vbaya.
NakaziaNo situation is permanent hata kifo huwa kinasahaulika, kwanza huyo mkwe wako alifikiria nini kuanza kukuchatisha ujinga kama huo? Puuza, anza kwenda job kuwa busy na mambo yako ni suala la muda yataisha hata kama ulifanya jisamehe, tubu, kubali imetokea ila isichukue sana muda wako. Waza mengine ya mbele. Watu wanamwagiwa mikoneksheni yao wanafukua mitaro hawajawahi kufa yaan wewe hilo tu ujiue