Naomba msaada wa Ushauri wa haraka ndugu zangu

Naomba msaada wa Ushauri wa haraka ndugu zangu

Pole bro, yote hutokea kwa sababu. So be strong, ushahidi wa kwanza tunza sana hizo sms za charting za mwanzo then washirikishe wazazi wako kabla ya wao hawajakutafuta. Anza na mama kama yupo then mzee I think watakuelewa tu usifiche kitu, na waambie kuwa kwakoilikuwa kamajambo la mzaha tu.
Pole
Wazazi wangu, sio rahisi hivyo hasa mzee.
 
Tamaa za kijinga zimekuponza, pole sana usijidhuru. Hama hapo ulipo kama wanapajua, fanya kazi kwa bidii na uache huo ujinga wa kutamani wake za watu, utakuja kufinywa na wachawi wa himaya hii.
Huwenda ikawa hivyo, lakini kumbuka wao ndo walianza kunitafta na sikuwa na namba yao, na wao ndo wakawa wa kwanza kuleta mishe za mapenzi, anyway kosa ni kosa tu
 
Wazazi wangu, sio rahisi hivyo hasa mzee.
Ni kweli inaweza isiwe rahisi lakini kuna mtu wa karibu na mzee unaweza zungumza nae cz hakijaharibika kitu maana hukuwahi kutembea nae nk
 
Kwanza nicheke😂 ila nimegundua vijana wengi waliozaliwa 96-99 roho zinawauma wanawaonea wivu watoto wa 2000 nikimaanisha wanatamani wangechelewa kuzaliwa ili wazaliwe mwaka 2000.
Na vijana wenyewe ni wewe 😂
Kwanini unahisi wanawaonea wivu?
 
vita vya kwanza vya dunia vilisababishwa na upebari alkadharika vita vya pili vya dunia naamin kabisa vita vya vya tatu vya dunia vitasababishwa na watu wenye nyege.
 
Pole sana Mkuu

Nashauri Kwa kuwa huyo ndugu yako alikuwekea mtego wa kuchat na Mume wake badala yake, nawe mwambie alikuwa anachat na Mke wako.

Mwambie Mke wako/Mpenzi wako alihisi Kuna mtu unatoka naye hivyo alianza kufatilia simu yako kufikia hatua ya kuanza kuitumia Siku Moja Moja hasa ukiwa umeenda bafuni.

Hivyo possibly Siku hiyo alikuwa anachat nao bila wao kujua.
 
Huwenda ikawa hivyo, lakini kumbuka wao ndo walianza kunitafta na sikuwa na namba yao, na wao ndo wakawa wa kwanza kuleta mishe za mapenzi, anyway kosa ni kosa tu
Uyo mumewe ni mjinga sana, ila lazima kuna vitu alivinotisi kwa mkewe kuhusu wewe hadi akaamua kufanya hivyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom