Naomba msaada wa mchanganuo wa sherehe

wembeee

JF-Expert Member
Jan 16, 2015
2,708
1,353
niko more interested kujua gharama za harusi naomba mnisaidie kupata mchanganuo mzuri wa gharama zake nataka kufunga ndoa ya kislam mwezi wa 5

maitaji ya watu yawe watu 200 lakini pasipo pombe lakini iwe ya kuvutia

Mavazi ya bibi harusi yawe classic nipate gharama zake

Mavazi yangu mwenyewe yake classic nipate gharama zake


Gharama za honeymoon iwe zanzibar plus sherehe yenyewe iwe nzuri

Asanteni nina imani mtanisaidia kupata mchanganuo mzuri wa gharama zake
 
Mchanganuo huendana na kiasi ulichojiandaa. Mfano kwenye ukumbi,chakula,Pete,vinywaji,nguo zenu,wapambe,usafiri,keki,saluni ya mkeo. Vinategemeana na mpunga wako.
 
Pesa yangu mimi nimeanda m16 cash kwa kila kitu lakini niko tayari kuongeza kama kutaitajika kuongeza wakuu
 
Mchanganuo huendana na kiasi ulichojiandaa. Mfano kwenye ukumbi,chakula,Pete,vinywaji,nguo zenu,wapambe,usafiri,keki,saluni ya mkeo. Vinategemeana na mpunga wako.
Kiwango kuanzia 10-17
 
Kifupi tenga 45% ya chakula na vinywaji hyo nyingine gawa kutokana na mapenzi na ushauri toka kwa mwenza na wanakamati. But relax kamati itafanyia kazi. Hapo ndoa tu nkuu.. Ufanikiwe kaka
 
Harusi za kiislamu kiasili hapa Tanzania ni gharama nafuu sana unless kama
1/Unataka ifanane na zile za kikristo au kimagharibi. (Huko ndio swaga za Ufahari wa Harusi zilipoanzia na kujikita kwa karne nyingi sana)

2/Wanandoa wana uasili wowote wa Kiarabu, Maarufu sana, Viongozi wa juu wa kisiasa nk. (Inalazimisha kumantain Status ya Nafasi yako kwenye jamii hususani aina ya marafiki na watu wenye uwezo wanakuzunguka)

3/Suala la dini(Uislamu) sio Agenda ya muhimu (Hapo idea za Kibagani za matumizi ya Anasa zinajiingiza)

4/Umeunda kamati ya Harusi na kukusanya pesa za Michango ya Harusi(Hapo unawajibika kuwaridhisha waliokuchangia na pia utaliwa pesa na wanakamati)

USHAURI WANGU.
*Kama wewe ni muislamu basi fanya harusi isiyo na fahari au gharama kubwa ili kupata swawabu na kulinda utamaduni wa harusi za kiislamu.

*Kama unao uwezo wowote wa kipesa, kwepa kabisa suala la kuunda kamati ya kukusanya michango na kufanikisha harusi yako.

*Kaa na ndugu zako wa karibu sana kuona namna unaweza kufanya harusi yako kiislamu na kinyumbani zaidi.

*Budget ya harusi inategemea, ila kiufupi, kiislamu mambo muhimu ni haya tu.
1/Chakula(Ubwabwa)
2/Vinywaji(Soda).
3/Burudani(Kaswida)
4/Mavazi(Kanzu, Kofia, Kiremba, Gauni, ina)
 
Harusi za kiislamu kiasili hapa Tanzania ni gharama nafuu sana unless kama
1/Unataka ifanane na zile za kikristo au kimagharibi. (Huko ndio swaga za Ufahari wa Harusi zilipoanzia na kujikita kwa karne nyingi sana)

2/Wanandoa wana uasili wowote wa Kiarabu, Maarufu sana, Viongozi wa juu wa kisiasa nk. (Inalazimisha kumantain Status ya Nafasi yako kwenye jamii hususani aina ya marafiki na watu wenye uwezo wanakuzunguka)

3/Suala la dini(Uislamu) sio Agenda ya muhimu (Hapo idea za Kibagani za matumizi ya Anasa zinajiingiza)

4/Umeunda kamati ya Harusi na kukusanya pesa za Michango ya Harusi(Hapo unawajibika kuwaridhisha waliokuchangia na pia utaliwa pesa na wanakamati)

USHAURI WANGU.
*Kama wewe ni muislamu basi fanya harusi isiyo na fahari au gharama kubwa ili kupata swawabu na kulinda utamaduni wa harusi za kiislamu.

*Kama unao uwezo wowote wa kipesa, kwepa kabisa suala la kuunda kamati ya kukusanya michango na kufanikisha harusi yako.

*Kaa na ndugu zako wa karibu sana kuona namna unaweza kufanya harusi yako kiislamu na kinyumbani zaidi.

*Budget ya harusi inategemea, ila kiufupi, kiislamu mambo muhimu ni haya tu.
1/Chakula(Ubwabwa)
2/Vinywaji(Soda).
3/Burudani(Kaswida)
4/Mavazi(Kanzu, Kofia, Kiremba, Gauni, ina)
kwahakika hii harusi haizidi 150000
 
Harusi za kiislamu kiasili hapa Tanzania ni gharama nafuu sana unless kama
1/Unataka ifanane na zile za kikristo au kimagharibi. (Huko ndio swaga za Ufahari wa Harusi zilipoanzia na kujikita kwa karne nyingi sana)

2/Wanandoa wana uasili wowote wa Kiarabu, Maarufu sana, Viongozi wa juu wa kisiasa nk. (Inalazimisha kumantain Status ya Nafasi yako kwenye jamii hususani aina ya marafiki na watu wenye uwezo wanakuzunguka)

3/Suala la dini(Uislamu) sio Agenda ya muhimu (Hapo idea za Kibagani za matumizi ya Anasa zinajiingiza)

4/Umeunda kamati ya Harusi na kukusanya pesa za Michango ya Harusi(Hapo unawajibika kuwaridhisha waliokuchangia na pia utaliwa pesa na wanakamati)

USHAURI WANGU.
*Kama wewe ni muislamu basi fanya harusi isiyo na fahari au gharama kubwa ili kupata swawabu na kulinda utamaduni wa harusi za kiislamu.

*Kama unao uwezo wowote wa kipesa, kwepa kabisa suala la kuunda kamati ya kukusanya michango na kufanikisha harusi yako.

*Kaa na ndugu zako wa karibu sana kuona namna unaweza kufanya harusi yako kiislamu na kinyumbani zaidi.

*Budget ya harusi inategemea, ila kiufupi, kiislamu mambo muhimu ni haya tu.
1/Chakula(Ubwabwa)
2/Vinywaji(Soda).
3/Burudani(Kaswida)
4/Mavazi(Kanzu, Kofia, Kiremba, Gauni, ina)
Mkuu sitaki kufanya ya muundo huu naitaji ya muundo flan ivi bado naitaji mawazo yenu wakuu
 
Kifupi tenga 45% ya chakula na vinywaji hyo nyingine gawa kutokana na mapenzi na ushauri toka kwa mwenza na wanakamati. But relax kamati itafanyia kazi. Hapo ndoa tu nkuu.. Ufanikiwe kaka
Asnte
 
Chakula 20,000×220 (ongeza plate 20 za wazamiaji na wasio na kadi)

Vinywaji juicy 3500×220×2 (hii itabaki nanitafidoa soda na maji)

Ukumbi

Mc

Usafiri

Nguo bi harusi kati ya 500k-800k
Suti yako sidhani kama inazidi 500

Saluni


Mbona mil 16 chenji inabaki...hebu kaniwekee kwenye alaunti yangu mie nitakufanyia kila kitu
 
Back
Top Bottom