Chakula 20,000×220 (ongeza plate 20 za wazamiaji na wasio na kadi)
Vinywaji juicy 3500×220×2 (hii itabaki nanitafidoa soda na maji)
Ukumbi
Mc
Usafiri
Nguo bi harusi kati ya 500k-800k
Suti yako sidhani kama inazidi 500
Saluni
Mbona mil 16 chenji inabaki...hebu kaniwekee kwenye alaunti yangu mie nitakufanyia kila kitu
Mill 16 ukipata business idea ukainvest utapata sh ngapi?
Poleni kwa kupumbazwa na show offs mjini.Kama mimi ningemshauri mume tugharamie vitu vya muhimu then million kumi haipungui itabaki tuendelezee maisha!
Hata kutembeza kadi za mchango mtaani naona aibu aisee!
hahhaahaa!We dada mchaga nini?
unaonekana hupendi mchezo na pesa na matumizi yasiyo eleweka
hahhaahaa!
Mi ni mchanganyiko wa uchagani na pwani but nimekulia pwani tanga huo uchaga siujui!
Btw huoni nlichosema ni uamuz mzuri pia..Imagine pesa zote hizo azimalizie kwa kulisha hadi watu wanasaza ndani ya siku wakati kunahata watt yatima kiroba cha unga ndani ya siku hakiwatoshi mda mwingne wanalala njaa?
Mungu akikupa jitahidi kukifanyia mema kile unachopata na utapokea baraka zaidi kuliko kufanya hizo kufuru!
atajua mwenyeweAlipaswa kufanya harusi ndogo tu
lakini ndo hivyo kila mtu na mawazo yake
watu wanamshauri yeye anasisitiza 'lazima iwe ya aina yake ikibidi kuongeza bajeti'
watu wa aina hii 'hulizwa sana na wanakamati matapeli'
harusi hiyo itatumia milioni 6 tu
lakini watampiga atatoa 20.....