jerryperry2020
Member
- Jul 28, 2020
- 38
- 49
Wakuu nawasalimu pamoja na mko bize kufuatilia kesi mbali mbali zinazoendelea kwenye mahakama mbali mbali naomba ushauri wenu kwa wazoefu ninatumia subaru impreza kwenye mizunguko yangu ila hivi karibuni imekuwa na tatizo kwenye rejeta maana kila nikienda kwenye mizunguko lazima nikute imekausha maji.
Hivyo nina kazi ya kujaza karibu kila siku na nimeshaenda kwa mafundi walisema inavuja wakaziba ila tatizo likaendelea bado nikarudi tena wakaitoa wakadai waisafishe lakini tatizo bado lipo nimeamua sasa niwe najaza maji tu naingia mtaani naomba msaada wenu wajuzi wa haya mambo.
Hivyo nina kazi ya kujaza karibu kila siku na nimeshaenda kwa mafundi walisema inavuja wakaziba ila tatizo likaendelea bado nikarudi tena wakaitoa wakadai waisafishe lakini tatizo bado lipo nimeamua sasa niwe najaza maji tu naingia mtaani naomba msaada wenu wajuzi wa haya mambo.