Ponjoro wa Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2024
- 3,507
- 9,534
Kidogo nikutukane kmmk ila nakustahi.
Twende nae kama vipi 😜Sis miss you😍
Kwanza nina kesi na wewe why umekimbia ule uzi njoo tupange mipango ya outingTwende nae kama vipi 😜
Mimi muoga hatari 🤣🤣🤣.Kwanza nina kesi na wewe why umekimbia ule uzi njoo tupange mipango ya outing
Basi nakuita kwa uzi uleee mwingineMimi muoga hatari 🤣🤣🤣.
Tutoke kabisa jamani
Nenda Dodoma Bungeni utaruhusiwa kuingia kama Mwananchi.Nimejaribu mara kadhaa kufikia tovuti yao lakini haifunguki.
Kama unataka kwenda kuona jengo la bunge (kutembelea eneo la bunge) ni sawa, kesho napita Dar usiku nikitokea Kusini, ninaweza kukupa lifti, ila kama unaenda kuona utungaji wa sheria na uwakilishi, hilo nakushauri uachane nalo na sitakusaidia, kwani kwa sasa hatuna bunge (hatuna wawakilishi wa wananchi wala hatuna watunga sheria)..Habari wana JamiiForums.
Nina ombi la dhati. Mimi ni kijana wa miaka 21 kutoka Tanzania, na moja ya ndoto zangu kubwa ni kupata nafasi ya kutembelea Bunge la Tanzania na kushuhudia kikao cha bunge nikiwa kwenye jukwaa la wageni.
Nimekuwa nikifuatilia mijadala ya bunge kwa muda mrefu, na nina hamu kubwa ya kujifunza namna shughuli za kutunga sheria na uwakilishi zinavyofanyika kwa karibu.
Kama kuna Mbunge, mtumishi wa Bunge, au mtu yeyote mwenye uwezo wa kunielekeza au kunisaidia kupata kibali cha kutembelea bunge, nitashukuru sana. Itakuwa hatua kubwa kwangu kutimiza ndoto ambayo nimekuwa nayo kwa muda mrefu.
Asanteni sana kwa muda wenu na kwa msaada wowote mtakaoweza kunipa.
Mimi nina mjukuu yupo grade 7 anatumia Jamii Forum kama guest tangu akiwa grade 5.Naunga mkono hoja miaka 21, joined 2019 ina maana alijiunga JF akiwa na miaka 15?, alafu huu uziumepangiliwa vizuri hivi hamna (xaxa), nukta zimekaa mahala pake.
Huyu anatuchora sio bure
Tafuta shamba ulime... Utanishukuru!Habari wana JamiiForums.
Nina ombi la dhati. Mimi ni kijana wa miaka 21 kutoka Tanzania, na moja ya ndoto zangu kubwa ni kupata nafasi ya kutembelea Bunge la Tanzania na kushuhudia kikao cha bunge nikiwa kwenye jukwaa la wageni.
Nimekuwa nikifuatilia mijadala ya bunge kwa muda mrefu, na nina hamu kubwa ya kujifunza namna shughuli za kutunga sheria na uwakilishi zinavyofanyika kwa karibu.
Kama kuna Mbunge, mtumishi wa Bunge, au mtu yeyote mwenye uwezo wa kunielekeza au kunisaidia kupata kibali cha kutembelea bunge, nitashukuru sana. Itakuwa hatua kubwa kwangu kutimiza ndoto ambayo nimekuwa nayo kwa muda mrefu.
Asanteni sana kwa muda wenu na kwa msaada wowote mtakaoweza kunipa.
Jimboni? Kwani kuna wabunge wanakaa majimboni?Tembelea ofisi ya mbunge wako huko jimboni kunakuwepo katibu wa mbunge ni full time job!!
Kusoma na kuelewa limekuwa janga la kitaifa siku hizi.Jimboni? Kwani kuna wabunge wanakaa majimboni?
Unaweza kupiga picha walahu ofisini kadhaa za wabunge mkoani kwenu?Kusoma na kuelewa limekuwa janga la kitaifa siku hizi.
Wabunge wote wana Ofisi majimboni na kunakuwepo Katibu wake hapo!!