Naomba msaada wa kufika bungeni

Naomba msaada wa kufika bungeni

Habari wana JamiiForums.

Nina ombi la dhati. Mimi ni kijana wa miaka 21 kutoka Tanzania, na moja ya ndoto zangu kubwa ni kupata nafasi ya kutembelea Bunge la Tanzania na kushuhudia kikao cha bunge nikiwa kwenye jukwaa la wageni.

Nimekuwa nikifuatilia mijadala ya bunge kwa muda mrefu, na nina hamu kubwa ya kujifunza namna shughuli za kutunga sheria na uwakilishi zinavyofanyika kwa karibu.

Kama kuna Mbunge, mtumishi wa Bunge, au mtu yeyote mwenye uwezo wa kunielekeza au kunisaidia kupata kibali cha kutembelea bunge, nitashukuru sana. Itakuwa hatua kubwa kwangu kutimiza ndoto ambayo nimekuwa nayo kwa muda mrefu.

Asanteni sana kwa muda wenu na kwa msaada wowote mtakaoweza kunipa.
Njoo mpaka hapa bungeni, kuna benki kadhaa nje ya mjengo. Hapa ndipo ninapofanyia kazi kwa sasa. Ukifika waulize askari "yule mlinzi mzee wa benki nitampata wapi?"
Hao askari watakuonesha. Baada ya hapo nitakulengesha kwa Mheshimiwa yeyote yule atakayekuja benki kufanya miamala ya fedha.
 
Habari wana JamiiForums.

Nina ombi la dhati. Mimi ni kijana wa miaka 21 kutoka Tanzania, na moja ya ndoto zangu kubwa ni kupata nafasi ya kutembelea Bunge la Tanzania na kushuhudia kikao cha bunge nikiwa kwenye jukwaa la wageni.

Nimekuwa nikifuatilia mijadala ya bunge kwa muda mrefu, na nina hamu kubwa ya kujifunza namna shughuli za kutunga sheria na uwakilishi zinavyofanyika kwa karibu.

Kama kuna Mbunge, mtumishi wa Bunge, au mtu yeyote mwenye uwezo wa kunielekeza au kunisaidia kupata kibali cha kutembelea bunge, nitashukuru sana. Itakuwa hatua kubwa kwangu kutimiza ndoto ambayo nimekuwa nayo kwa muda mrefu.

Asanteni sana kwa muda wenu na kwa msaada wowote mtakaoweza kunipa.
Gombea tu ubunge, umri wako unakuruhusu. Waliomo humo hakuna wanachokuzidi—labda kiwango cha uhalifu!
 
Bila shaka huyu ni chawa humu, kaja na id yake nyingine
Naunga mkono hoja miaka 21, joined 2019 ina maana alijiunga JF akiwa na miaka 15?, alafu huu uziumepangiliwa vizuri hivi hamna (xaxa), nukta zimekaa mahala pake.
Huyu anatuchora sio bure
 
Naunga mkono hoja miaka 21, joined 2019 ina maana alijiunga JF akiwa na miaka 15?, alafu huu uziumepangiliwa vizuri hivi hamna (xaxa), nukta zimekaa mahala pake.
Huyu anatuchora sio bure
Amna mkuu nimeanza kutumia JF nikiwa mdogo sana.
 
Habari wana JamiiForums.

Nina ombi la dhati. Mimi ni kijana wa miaka 21 kutoka Tanzania, na moja ya ndoto zangu kubwa ni kupata nafasi ya kutembelea Bunge la Tanzania na kushuhudia kikao cha bunge nikiwa kwenye jukwaa la wageni.

Nimekuwa nikifuatilia mijadala ya bunge kwa muda mrefu, na nina hamu kubwa ya kujifunza namna shughuli za kutunga sheria na uwakilishi zinavyofanyika kwa karibu.

Kama kuna Mbunge, mtumishi wa Bunge, au mtu yeyote mwenye uwezo wa kunielekeza au kunisaidia kupata kibali cha kutembelea bunge, nitashukuru sana. Itakuwa hatua kubwa kwangu kutimiza ndoto ambayo nimekuwa nayo kwa muda mrefu.

Asanteni sana kwa muda wenu na kwa msaada wowote mtakaoweza kunipa.
Wananchi wa kawaida wanaruhusiwa kutembelea Bungeni. Ingia kwenye tovuti Yao upate maelekezo.
 
Back
Top Bottom