Aputwike
Senior Member
- Aug 9, 2016
- 172
- 189
Habari wadau.
Naomba msaada wa ku-block 'call' zote kuingia kwenye simu yangu. Yaani nikipigiwa sipatikani au mtandao unakuwa kama unasumbua vile, lakini napata notification na kuamua nimpigie aliyenipigia au la!
Natumia 'sim card' ya Airtel na Voda, naombeni msaada nifanye nini. Kwa we wajuzi naombeni msaada kanuni nifanyaje, ila kwa wale wanaopenda utani kidogo naomba mpite kwanza kwa muda.
Nitashukuru kwa msaada wenu.
Naomba msaada wa ku-block 'call' zote kuingia kwenye simu yangu. Yaani nikipigiwa sipatikani au mtandao unakuwa kama unasumbua vile, lakini napata notification na kuamua nimpigie aliyenipigia au la!
Natumia 'sim card' ya Airtel na Voda, naombeni msaada nifanye nini. Kwa we wajuzi naombeni msaada kanuni nifanyaje, ila kwa wale wanaopenda utani kidogo naomba mpite kwanza kwa muda.
Nitashukuru kwa msaada wenu.