kwaji
Senior Member
- Nov 3, 2013
- 186
- 32
Unapopeleka barua yako ya kuomba kulipwa malipo kwenye kampuni uliongia nayo mkataba kulipana kila mwisho wa mwaka lakini wewe ukawa na shida kabla ya ule muda mliokubaliana kampuni itachukua muda gani kukujibu na itakujibu kwa barua au kwa kupiga simu
Kila nikifika naambiwa ukae wiki 2 ndiyo uje kuchukua majibu ni sahihi?
Kila nikifika naambiwa ukae wiki 2 ndiyo uje kuchukua majibu ni sahihi?