Naomba kujua kuwa endapo umeripoti KITUO Cha KAZI labda tarehe 17 ya mwezi huo na Barua ya posting inasema kuwa unatakiwa kureport within na Mtumishi huyo mpya aliwasili kweli ndani ya muda Kama posting letter inavyosema.
Swali je akija kuomba malipo ya mshahara ya mwezi husika atalipwa?
Naombeni ufafanuzi.
Maana huyo mtu alifuatilia akaambiwa hawezi lipwa maana aliwasili payroll imeshapita.
Msaada wakuu
Swali je akija kuomba malipo ya mshahara ya mwezi husika atalipwa?
Naombeni ufafanuzi.
Maana huyo mtu alifuatilia akaambiwa hawezi lipwa maana aliwasili payroll imeshapita.
Msaada wakuu