Hakuna anayejali
JF-Expert Member
- Jun 3, 2023
- 418
- 527
Mimi ni mkulima ninayekerwa na ucheleweshwaji wa malipo ya mahindi. Mfano Mikoani Ruvuma Manispaa ya Songea mimi na wenzangu tulipeleka mahindi( Cpb)bodi ya Nafaka Tanzania ni kitengo cha Serikali yani mia.
Mwezi sasa hatujalipwa ingawa walisema malipo yatafanyika ndani ya siku3 za kazi toka kukabidhi mahindi.lakini hadi sasa tunamaliza mwezi.wiki iliyopita walisema deadline lakini hadi muda huu hakuna malipo.
Hali hii ipo hadi Nfra.naomba wahusika mtusaidiye tupate malipo wengine ni muda wa marejesho benki na watoto shule muda umepiga barua yao hii.
Mwezi sasa hatujalipwa ingawa walisema malipo yatafanyika ndani ya siku3 za kazi toka kukabidhi mahindi.lakini hadi sasa tunamaliza mwezi.wiki iliyopita walisema deadline lakini hadi muda huu hakuna malipo.
Hali hii ipo hadi Nfra.naomba wahusika mtusaidiye tupate malipo wengine ni muda wa marejesho benki na watoto shule muda umepiga barua yao hii.