BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,331
Nenda kasome mrembo, mume mtarajiwa asiyetaka maendeleo yako ya aina yoyote ile ikiwemo elimu hakufai. Kumbuka elimu ni ufunguo wa maisha. Kila la heri na baraka kwenye masomo yako.
Habari zenu wanajamvi,
Naomba ushauri kutoka kwenu,
Mimi ni binti wa early twenties na nina mchumba ambae mpaka kwa wazazi anajulikana na Mungu akipenda mwaka huu tutaoana.
Kilichonileta hapa ni hiki kuanzia mwaka Jana nilikua nataka nianze process nirudi shule nilipomshirikisha huyu mchumba kakataa kabisa tena kaenda mbali zaidi na kuniambia siku utakayokwenda shule kata mawasiliano na mimi.
Na mimi nimemwambia mbona inawezekana kwenda chuo na mambo yote yakaendelea kama kawaida lakini bado ameshikilia uzi huohuo wa mimi nisiende chuo.
Naombeni ushauri nisimamie wapi maana najikuta nawaza nashindwa kujua ni choose ni kitu gani.
Nb: Yeye amesoma