Habari wakuu,
Naomba Kuuliza kwa yeyote anayefahamu au mwenye mawasiliano na vyuo tajwa hapo juu.
Maana kuna mtu nataka ni mfadhili kwenda kusoma moja ya chuo hicho kwenye fani ya Ordinary Diploma in Culinary Arts (food Production) au Ordinary Diploma in Food Technology and Human Nutrition.
Hivyo nahitaji kujua namna ya kutuma maombi, muda wa masomo kuanza na gharama zake.
Pia ikiwezekana na ushauri kipi chuo kizuri na kozi nzuri, yeye mwenyewe anapendelea masuala ya chakula, yaan kupika pika na ndo amechagua kuwa fani yake.
Naombeni msaada wenu wakuu.
Naomba Kuuliza kwa yeyote anayefahamu au mwenye mawasiliano na vyuo tajwa hapo juu.
Maana kuna mtu nataka ni mfadhili kwenda kusoma moja ya chuo hicho kwenye fani ya Ordinary Diploma in Culinary Arts (food Production) au Ordinary Diploma in Food Technology and Human Nutrition.
Hivyo nahitaji kujua namna ya kutuma maombi, muda wa masomo kuanza na gharama zake.
Pia ikiwezekana na ushauri kipi chuo kizuri na kozi nzuri, yeye mwenyewe anapendelea masuala ya chakula, yaan kupika pika na ndo amechagua kuwa fani yake.
Naombeni msaada wenu wakuu.