Baba Dorcas
Member
- Jan 15, 2012
- 83
- 5
Heshima mbele kwanza! Naomba kutoa pole kwa msiba ulio2pata sie wapganaj hasa vijana kwa kuondokewa na Jembe letu la majira yote, dada yetu mpendwa, Regia Mtema, let her R.I.P
Ndg wana JF, naomben kusaidiwa kwa anaefaham kwa undan zaid au anayefanya kaz compassion anisaidie.
Nimebahatka kupga interview na ofis za compassion na bahat yangu nzur nmeptishwa! Ndan ya wiki hi nkapewa mwongozo na utaratibu wa kaz, nkausoma vzr, 1st nmeenda moja kwa moja kwny eneo la Sera ya mshahara. Eneo hl liko fresh coz n km wamechukua sera ya Serkal, NSSF ipo, matibab ipo, na kupanda kwa mshahara kupo pia! Lakn hakuna overtime na ni lazma kupga job at anytime withaut limit time! Leo nkapewa barua ya kuitwa kazn, na ikaonesha kua basic salar ni laki 382,141 ukiweka na marupu rup mengne ya nyumba, matibab na Usafir ni lak TSH 532,141/= Kwa mwez. Hu ni mshahara kwa ngaz ya Ukurugenz kwan ndo nafas nmepewa, af kwa level ya degree. Kilichokuja kunpa headache ni kwamba hakuna kupewa hela ya kujikimu, nmeongea nao wakasema hakuna kitu km hcho, eneo lenyew ni interior mbaya, boda boda ni 2thau kwend tu! Ndg zangu naomben ushaur, af kitu kingne, vp hua mishahara ya wafanyakaz inalpwa kutoka wapi, je ni compassion international au ni kanisa linalpa waajiriwa? Naulza hv coz hapa nlpoitwa inaonekana kua salary ntakua napokea kwa Mchungaji, ndo system yenyw hata kwengne? Af jamen mshahara wa Mkurugenz wa compassion ni lak 3 kwel? Mkataba nmeambiwa ni 3 yr b4 renewing. Jamen mi fresh frm xcul, af ni mwl ninaesubr ajira ya govnment, plz nsaidien il post zkitoka niwe nshajua wapi nkomae napo zaid, kwa sasa npo njia panda! Af achilia mbal hyo salary, vp compassion kunaweza kuwa na maslah badae??
Nisaidien ndg wana jf.
Ndg wana JF, naomben kusaidiwa kwa anaefaham kwa undan zaid au anayefanya kaz compassion anisaidie.
Nimebahatka kupga interview na ofis za compassion na bahat yangu nzur nmeptishwa! Ndan ya wiki hi nkapewa mwongozo na utaratibu wa kaz, nkausoma vzr, 1st nmeenda moja kwa moja kwny eneo la Sera ya mshahara. Eneo hl liko fresh coz n km wamechukua sera ya Serkal, NSSF ipo, matibab ipo, na kupanda kwa mshahara kupo pia! Lakn hakuna overtime na ni lazma kupga job at anytime withaut limit time! Leo nkapewa barua ya kuitwa kazn, na ikaonesha kua basic salar ni laki 382,141 ukiweka na marupu rup mengne ya nyumba, matibab na Usafir ni lak TSH 532,141/= Kwa mwez. Hu ni mshahara kwa ngaz ya Ukurugenz kwan ndo nafas nmepewa, af kwa level ya degree. Kilichokuja kunpa headache ni kwamba hakuna kupewa hela ya kujikimu, nmeongea nao wakasema hakuna kitu km hcho, eneo lenyew ni interior mbaya, boda boda ni 2thau kwend tu! Ndg zangu naomben ushaur, af kitu kingne, vp hua mishahara ya wafanyakaz inalpwa kutoka wapi, je ni compassion international au ni kanisa linalpa waajiriwa? Naulza hv coz hapa nlpoitwa inaonekana kua salary ntakua napokea kwa Mchungaji, ndo system yenyw hata kwengne? Af jamen mshahara wa Mkurugenz wa compassion ni lak 3 kwel? Mkataba nmeambiwa ni 3 yr b4 renewing. Jamen mi fresh frm xcul, af ni mwl ninaesubr ajira ya govnment, plz nsaidien il post zkitoka niwe nshajua wapi nkomae napo zaid, kwa sasa npo njia panda! Af achilia mbal hyo salary, vp compassion kunaweza kuwa na maslah badae??
Nisaidien ndg wana jf.