Naomba msaada kwa aliyewahi kusajili Mradi TIC

Bexb

JF-Expert Member
Oct 24, 2016
658
1,395
Habari ya jumapili wakuu. Naomba msaada wa maelekezo toka kwa mtu aliyewahi kusajili mradi chini ya Tanzania Investment Centre (TIC).

Ninahitaji kujifunza jambo kwa uhalisia wake hasa katika maandalizi ya nyaraka zinazohitajika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…