pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,259
- 3,756
huyu jamaa atakuwa kapata division four halafu anasubiri kujiunga form five,maana ndo akilizao hawa...
maumivu hata kwa mtu usiyomjua? Hiyo inakuwaga kidogo tu na siyo mpaka tukupe maushauri hapa ya kuponya hayo maumivu. Just give it 2 daysAcha uongo bana si umesema hujaonana nae
Hapana sipo nae kila mmoja kwao
Yeye Kawe mimi Tegeta!
Tatizo sijui ana nini! Tulichat sana tu tukakubaliana ghafla akabadilika na kusema kua naomba tuachane!
Ndio maana nikamuomba bora tuonane nikidhani huenda labda akabadili msimamo lakini naona kama nalazimisha sasa!
Kinachoniuma ni ile hela yng niliyomuhonga tu!
uuze kisa nini? Hivi hayajawahi kukukuta makubwa ndo maana waumiza kichwa kwa kitu kdogo. Watu wanakuwa na ma x kama 6 na habadili mtu namba sembese wewe ndo kwanza mlikuwa mnaanza jamani. We jipe muda kidogo utakuwa poa, haipiti siku tatu utakuwa poaNamba inaniumiza akili!
Natamani kuuza simu!
uuze kisa nini? Hivi hayajawahi kukukuta makubwa ndo maana waumiza kichwa kwa kitu kdogo. Watu wanakuwa na ma x kama 6 na habadili mtu namba sembese wewe ndo kwanza mlikuwa mnaanza jamani. We jipe muda kidogo utakuwa poa, haipiti siku tatu utakuwa poa
hakuna njia ya kusahau kitu ambacho tayari kipo kwenye akili yako ni wewe mwenywe tu kuji control mpaka itakapofutika yenyewe kwenye kichwa, umeshawahi kuwa na gf before au huyu ndo wa kwanza?Nakushukuru sana kwa ushauri wako unanipa nguvu ya kukabiliana na yaliyotokea!
Naomba nishauri kitu kimoja;-
Njia ya kusahau namba yake kila nishaifuta ila imeganda kichwani!
flash back!,,,
mwanamke haulizw kama ana boy frend uo nmi ukanjanja,,kwan we unakua unamtaka bf wake au yy,,,unamgegeda ayo mengne yatajulikana!!,,
wanawake wenyew awa wa ck iz magumash ukijifanya serius wanakuchinjia ziwan ukoo,,,,
we mwambie nataka NIKUGEGEDE tena kwa saut kavuu