Naomba msaada kuhusu huyu mpenzi

Naomba msaada kuhusu huyu mpenzi

Tatizo sijui ana nini! Tulichat sana tu tukakubaliana ghafla akabadilika na kusema kua naomba tuachane!
Ndio maana nikamuomba bora tuonane nikidhani huenda labda akabadili msimamo lakini naona kama nalazimisha sasa!
Kinachoniuma ni ile hela yng niliyomuhonga tu!

Ulimuhonga hela ya nn sasa? Ili akukubali au?
 
Ulimuhonga hela ya nn sasa? Ili akukubali au?

Nilitegemea hivyo!
Ingawa alikataa lakini alipokea!
Naijutia sana ile hela, nilimwambia atanunua hata vocha, lakini sasa hata nikimpigia mimi hapokei!
Sijui niifute namba yake?
Lakini nimeihifadhi kichwani!
 
Nini tena!
Yaliyokukuta, kazi uliyoifanya ni kubwa mwishoni mambo yameharibika

Nakushauri bora uachane nae, asije akakuletea matatizo huko mbeleni muendako

Na kama alivyokuambia kistaarabu muachane, nimependa kwa alivyo muwazi, naomba usiwe king'ang'anizi
 
Nilitegemea hivyo!
Ingawa alikataa lakini alipokea!
Naijutia sana ile hela, nilimwambia atanunua hata vocha, lakini sasa hata nikimpigia mimi hapokei!
Sijui niifute namba yake?
Lakini nimeihifadhi kichwani!

Mdogo wangu achana na huyo dada kama unaipenda nafsi yako, utampata tu mwingine atakae kufaa
 
Nilipewa namba ya msichana na rafiki yangu mmoja, nilichat nae kwa muda mrefu hadi tukawa wapenzi.

Kipindi cha karibuni nilimuuliza kiutani kama aliwahi kua na Boyfriend akawa hataki kunijibu, lakini niliamua kumsisitizia swali hilo hadi akaamua kuniambia kua ni kweli anae na akaniambia "NAOMBA TUACH

Nilipomuuliza kwanini akanambia kwasababu kuna mtu ANAMPENDA kama vile mimi ninavyompenda yeye.

Nilichoamua kumuomba ni mimi kuonana na yeye ukichukulia ni kama mwezi mmoja tangu tufahamiane.

Kakubali tuonane kesho lakini nimebaki na mawazo ni vitu gani hasa natakiwa nivifanye;-

1)Kwasababu hatujawahi kuonana nianze kumtongoza upya?
2)Nianze kwa kumbembeleza asiniache?
3)Hakuna jipya litakalotokea bora nisiende nitazidi kuumia moyo tu!

Naombeni mnipe ushauri jamani nimechanganyikiwa!
...... hivi selection za kujiunga kidato cha tano bado tuuu?nenda shule kijana umri bado
 
unapompenda mtu ya nini kujua kama ana bf.utajichelewesha bure.kila mtu ana wake ujanja kuzidi kete mwenzio
 
Kama hii avatar yako ndo picha yako nakushauri usiende kuonana nae, samahani lakini
 
Primium advice: 1-Piga pamba zako nzuri znazokufit tuliza munkari na woga
2- Nenda kamface (kamuso) kuongeza uzwefu wako wakumeet na stranger halafu jiandae kupigwa nyundo ya kichwa (kuachwa kwenye mataa ya ubungo) kisha relax.
3- mkikutana pima kwanza kwa mbaali kama ni wa level zako au yupo nje i.e juu ya level yako au chini
3. kama yupo chini utulize boli ni wako
4. kama yupo juu ni chalenge nyingine kwako kuweza kumvuta muwe level moja
5. go face your chalenge
 
Yaliyokukuta, kazi uliyoifanya ni kubwa mwishoni mambo yameharibika

Nakushauri bora uachane nae, asije akakuletea matatizo huko mbeleni muendako

Na kama alivyokuambia kistaarabu muachane, nimependa kwa alivyo muwazi, naomba usiwe king'ang'anizi

Nakulaumu kwanini umechelewa kunipa ushauri huu tangu mapema?
Yote uliyoandika ndio yametokea aisee TAWIRE!
 
Mdogo wangu achana na huyo dada kama unaipenda nafsi yako, utampata tu mwingine atakae kufaa

Nakushukuru sana kwa ushauri wako unanipa nguvu ya kukabiliana na yaliyotokea!

Naomba nishauri kitu kimoja;-
Njia ya kusahau namba yake kila nishaifuta ila imeganda kichwani!
 
Primium advice: 1-Piga pamba zako nzuri znazokufit tuliza munkari na woga
2- Nenda kamface (kamuso) kuongeza uzwefu wako wakumeet na stranger halafu jiandae kupigwa nyundo ya kichwa (kuachwa kwenye mataa ya ubungo) kisha relax.
3- mkikutana pima kwanza kwa mbaali kama ni wa level zako au yupo nje i.e juu ya level yako au chini
3. kama yupo chini utulize boli ni wako
4. kama yupo juu ni chalenge nyingine kwako kuweza kumvuta muwe level moja
5. go face your chalenge

Nishafanya hayo nimeambulia za uso!
Nishauri kuhusu kusahau machungu!
 
Nilipewa namba ya msichana na rafiki yangu mmoja, nilichat nae kwa muda mrefu hadi tukawa wapenzi.

Kipindi cha karibuni nilimuuliza kiutani kama aliwahi kua na Boyfriend akawa hataki kunijibu, lakini niliamua kumsisitizia swali hilo hadi akaamua kuniambia kua ni kweli anae na akaniambia "NAOMBA TUACHANE".

Nilipomuuliza kwanini akanambia kwasababu kuna mtu ANAMPENDA kama vile mimi ninavyompenda yeye.

Nilichoamua kumuomba ni mimi kuonana na yeye ukichukulia ni kama mwezi mmoja tangu tufahamiane.

Kakubali tuonane kesho lakini nimebaki na mawazo ni vitu gani hasa natakiwa nivifanye;-

1)Kwasababu hatujawahi kuonana nianze kumtongoza upya?
2)Nianze kwa kumbembeleza asiniache?
3)Hakuna jipya litakalotokea bora nisiende nitazidi kuumia moyo tu!

Naombeni mnipe ushauri jamani nimechanganyikiwa!

hebu assume sasa ndo uko nae sasa hivi hapa..

haya anza kuongea tusikie..! mtongoze..
 
hebu assume sasa ndo uko nae sasa hivi hapa..

haya anza kuongea tusikie..! mtongoze..

Jamani hii thread niyatangia juzi,
Nishaonana nae na jibu lipo hapo juu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom