HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,926
- 6,669
Sasa na ww nikwamba wanawake wameisha au uwezi kumface msichana na kumwambia au una shida gani????
Kashakwambia ana anae mpenda kama ww unavyo mpenda means akupendi ... sasa kwenda kumuomba asikuache sijui atatoa wapi upendo wa kukupa. Nyie ndo wale mnaombiwaga baby tujenge nyumba ya pili ili ukiniacha tugawane ..... Shtuka basi
Kashakwambia ana anae mpenda kama ww unavyo mpenda means akupendi ... sasa kwenda kumuomba asikuache sijui atatoa wapi upendo wa kukupa. Nyie ndo wale mnaombiwaga baby tujenge nyumba ya pili ili ukiniacha tugawane ..... Shtuka basi