Naomba msaada kuhusu huyu mpenzi

Naomba msaada kuhusu huyu mpenzi

Nakulaumu kwanini umechelewa kunipa ushauri huu tangu mapema?
Yote uliyoandika ndio yametokea aisee TAWIRE!
Nisamehe mkuu, jana kimeo ninachotumia kilikuwa kinasumbua sana, hata mtu akiniquote nilikuwa sipati taarifa hadi niotee kwa kuingia kuingia kwenye post
 
Nisamehe mkuu, jana kimeo ninachotumia kilikuwa kinasumbua sana, hata mtu akiniquote nilikuwa sipati taarifa hadi niotee kwa kuingia kuingia kwenye post

Hamna noma mkuu.
 
yaani kama haujawai kumuona usipate taabu kwakuwa lazima atakuwa na kasoro tu itumie hho kasoro kwamba hakufai, maana haujaweza kumshawishi akuingize kwenye akili yake.hivyo usilazimishe kaka.
 
yaani kama haujawai kumuona usipate taabu kwakuwa lazima atakuwa na kasoro tu itumie hho kasoro kwamba hakufai, maana haujaweza kumshawishi akuingize kwenye akili yake.hivyo usilazimishe kaka.

Sawa nishaonana nae na alichonambia hawezi kumsaliti alienae hivyo tumeamua kila mtu kivyake!
 
Utoto raha sana sijui nilikua na akili gani ila jamani pesa ndio kila kitu yaani utawachoka mwenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom