Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,251
- 88,177
Kwanza kusoma kwangu kote sijawahi kujua kama TB ina chanjo bali tiba.Mimi alinibishia, anasema ni chanjo ya TB. Nikiijua hospital anayofanyia kazi sitothubutu kukanyaga
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu anakwambia TB sio moja kati ya magonjwa yanayoshusha kinga ya mwili hapo hapo anamuuliza mgonjwa kama alichekiwa HIV. Daktari hajui TB ina uhusiano mkubwa na HIV sababu dalili zao pia zinafanana.
Huyu dokta simtaki mimi. Nimegundua naweza nikawa dokta kumzidi
Sent using Jamii Forums mobile app