Amani na Upendo
Member
- May 5, 2012
- 42
- 41
Ndui ni smallpox mkuu,na TB ni BCG.Tanzania tunachomwa hizi zote.Sitaki kuamini wewe ni Medical 🥼
Ndui ni smallpox mkuu,na TB ni BCG.Tanzania tunachomwa hizi zote.Sitaki kuamini wewe ni Medical 🥼
Ndui ni smallpox mkuu,na TB ni BCG.Tanzania tunachomwa hizi zote.Sitaki kuamini wewe ni Medical
Ndui ni smallpox mkuu,na BCG ni chanjo ya TB.Hizi ni chanjo mbili tofauti kabisaNdui ni jina la chanjo kwa kiswahili,
Lakini ni njanjo inayopambana na kifua kikuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba unisamehe sana,nilikuwa na nia ya kumjibu Suriya.Hapana mimi sio daktari ila natumia knowledge ndogo ya biolojia ya kidato cha nne. Ndio maana nimesema sijawahi kuona chanjo ya TB kama ipo mniambie nikachome na mtoto wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndui na TB ni magonjwa mawili tofauti. Ndui-small pox, Kifua kikuu- TuberculosisNdui ni jina la chanjo kwa kiswahili,
Lakini ni njanjo inayopambana na kifua kikuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba unisamehe sana,nilikuwa na nia ya kumjibu Suriya.
Suriya unajuaje kama huna TB?ulishafanya Blood au skin test kuona kama huna TB?Maana umeishi na mtu mwenye TB pia unaongea na watu wenye TB na kufanya nao Interview kila siku bila kuvaa mask,mazingira hayo yote yanakuweka kwenye risk ya kupata TB.Latent TB haionyeshi dalili zozote za TB mkuu.Acha kuzungumza kwa kihis mm sijui.
Kwan Mim nimesema ni HIV peke yake???
Sasa hao watu ulio wataja hapo ndio kawaambie mambo ya TB kuwa ni rahis kuwapata,
Lakin sio mm mtu na afya yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndui ni smallpox mkuu,na TB ni BCG.Tanzania tunachomwa hizi zote.Sitaki kuamini wewe ni Medical
Kinga ya mwili inatofautianaMkuu mimi nilikua nakaa na mgonjwa wa tb nyumba moja mbona hakuniambukiza?
Wew imekuaje ukaambukizwa?
Kwa mama mjamzito sawa inaweza mpata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mkono wa kulia nina BCG,kushoto smallpox,ila sidhani kama hii ndio formula,mdogo wangu ana scar zote mbili mkono wa kulia.Makovu haya yako tofauti hayafanani.
halafu anadanganya eti kuna mtu kashatuma 12,000/= ili arubuni watu wajue anatumiwa pesa ili nao watume jamaa fala sanaHawa watu wanaboa saana.. Jamii forums imekuwa ya hovyo saana siku hizi.
Suriya chanjo ya TB(BCG) inamlinda mtu kwa miaka 15 mpaka 20 halafu ufanyaje wake kazi unapungua.Iko effective sana kwenye TB Meningitis kwa watoto na si aina zote za TB.Haiko vizuri sana katika kutulinda sisi watu wazima na TB.Kinga ya mwili ikishuka, ndio unaweza kupata TB, na ni rahis sana kuambukizwa TB hata kama ulipewa chanjo hiyo
Ndio maana unaambiwa kuna magonjwa ambayo ni rahisi sana kupata mgonjwa wa VVU/UKIMWI
Lakini mtu ambae hana vvu ni ngumu sana kupata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Suriya chanjo ya TB(BCG) inamlinda mtu kwa miaka 15 mpaka 20 halafu ufanyaje wake kazi unapungua.Iko effective sana kwenye TB Meningitis kwa watoto na si aina zote za TB.Haiko vizuri sana katika kutulinda sisi watu wazima na TB.
Suriya chanjo ya TB(BCG) inamlinda mtu kwa miaka 15 mpaka 20 halafu ufanyaje wake kazi unapungua.Iko effective sana kwenye TB Meningitis kwa watoto na si aina zote za TB.Haiko vizuri sana katika kutulinda sisi watu wazima na TB.
Ndui na TB ni magonjwa mawili tofauti. Ndui-small pox, Kifua kikuu- Tuberculosis
Sent using Jamii Forums mobile app
Suriya chanjo ya TB(BCG) inamlinda mtu kwa miaka 15 mpaka 20 halafu ufanyaje wake kazi unapungua.Iko effective sana kwenye TB Meningitis kwa watoto na si aina zote za TB.Haiko vizuri sana katika kutulinda sisi watu wazima na TB.
Vaccinia mkuuNitajie official name ya hiyo chanjo unayoita ndui kwa kingereza,
Maana naona kiswahili kinanichanganya hapo kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nadhani sio lazima Iwe kwenye bega laTukitumia kiswali hapo utanishinda.
BCG vaccine- ni kwa ajili ya Tuberculosis (TB)
Site inayotolewa- right shoulder (kwenye bega la kulia)
Ni hayo tu mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app