BILGERT
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 6,535
- 10,972
vijana wafanye kazi, waache kujidharilisha mitandaoni kwa kuomba omba..Jaman kma kuna mtu anWeza msaidia amsaidie sio tena kujigeuza madk hapa mbona tb inajulikana uambukizwaje wake😏..ht kwenye daldala unaweza ipata..pole sana mkuu
TB inatibika bila gharama.. Mimba ni mpango sio bahati mbaya.
Namshauri aomb e kazi, ila sio pesa.. Maana akichangiwa Leo baada ya hapo ataishije?