cc12
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 1,018
- 395
Wakuu pole na majukumu
Mimi ni blogger, mara nyingi wengi wetu tunatumia sana mitandao ya kijamii ikiwa kama ni njia ya kutambulisha/kusambaza habari zetu tunazokuwa tunapost lakini wakati naanza kublog nilikosea kitu ambacho leo najuta na ninaona kero, nilitengeneza page yenye neno blogspot yani Kishymba_blogspot lakini kwa sasa sitaki hata kuliona hilo neno kutoka na kwamba nimehama situmii tena domain za bure natumia .com yani Kishymba™
Sasa mara nyingi nilikuwa nataka kubadili jina la page yangu lakin inakuwa ngumu kutoka na kwamba nina like zaidi ya elfu tano nimejaribu kurequest change lakin hakuna mafanikio nikibonyeza naambiwa sorry the link not available sasa nilipitia baadhi ya site za nje wanasema hiyo ndio njia walio post katika moja ya blog ya Tech kutoka India, sasa nikuja kwenu wana JF naombeni msaada wenu wa hali na mali nifanikishe hii kitu maana nakilicheki lile jina huwa naptwa na hasira sana
Asanten sana
Mimi ni blogger, mara nyingi wengi wetu tunatumia sana mitandao ya kijamii ikiwa kama ni njia ya kutambulisha/kusambaza habari zetu tunazokuwa tunapost lakini wakati naanza kublog nilikosea kitu ambacho leo najuta na ninaona kero, nilitengeneza page yenye neno blogspot yani Kishymba_blogspot lakini kwa sasa sitaki hata kuliona hilo neno kutoka na kwamba nimehama situmii tena domain za bure natumia .com yani Kishymba™
Sasa mara nyingi nilikuwa nataka kubadili jina la page yangu lakin inakuwa ngumu kutoka na kwamba nina like zaidi ya elfu tano nimejaribu kurequest change lakin hakuna mafanikio nikibonyeza naambiwa sorry the link not available sasa nilipitia baadhi ya site za nje wanasema hiyo ndio njia walio post katika moja ya blog ya Tech kutoka India, sasa nikuja kwenu wana JF naombeni msaada wenu wa hali na mali nifanikishe hii kitu maana nakilicheki lile jina huwa naptwa na hasira sana
Asanten sana