Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,133
- 16,197
Mmeniminya bure wakuu!!
Nime google nikaibukia kwenye forum f'lani kule Indonesia kiugumu ugumu nikanyaka AC ya PD-proxy pamoja na Pass ya jamaa ile kuiweka sawa password na kujalibu ikawa kanyaga twende.
sasa nipo kwenye lile basi letu nakamua mazee.
hiyo pd proxy unaunga na line gani?