Kwa 3m Usangu unaweza kulima mpaka ekari sita, kuanzia kukodi shamba, kulima, mbolea, mbegu na palizi. Ila inabidi upate mtu mwaminifu. Na mavuno ni kuanzia gunia 15 kwa ekari kwenda juuUbarikiwe ndugu..wasiwasi wangu juu ya mpunga ni naskia unahitaji uangalizi wakaribu sana..hasa ukizingatia kuna wale ndege...so itabidi nimuweke mtu kwa kazi hio na mtaji huo ni kidogo..
Pia vipi naweza lima hekari ngapi kwa mtaji huo ndugu
Nakushauri ulime majani ya mifugo haswa ya ngombe wa maziwaHabari za kutwa ndugu zangu..
Mimi nikijana niliemaliza chuo na sina ajira, nmejichanga kwa muda sasa, nimepata million 3, sasa nataka kuingia kwenye kilimo ninaishi mkoa wa Mbeya.
Nmefanya kautafiti kidogo nikaona kuna eneo wanafanya kilimo cha umwagiliaji ndani ya Mbeya, ila nashindwa kuamua nilime zao gani iliangalau nikuze mtaji wangu kwakiasi kikubwa kidogo, binafsi nikaona bora nilime Viazi au Mahindi..
VIAZI
Kwa utafiti wangu mdogo nmeskia hekari moja ya viazi inatoa gunia 70-90 na mara ya mwisho gunia 1 nliskia linauzwa 62,000/= Mbeya.
MAHINDI
Pia hekari moja ya Mahindi inatoa gunia hadi 30 kama kila hatua ikifanywa kwa usahihi bei kwa gunia bado sijaifahamu.
Sasa nawakaribisha ndugu zangu wana Jf mnishauri nilime nini kwa mtaji huo, inaweza ikawa ni kati ya mazao nliyoyataja au zao lingine linaloweza kunipa faida nzuri kwa kuuza ndani ya Mby au hata nje...
Pia naomba kujua naweza lima hekari ngapi kwa zao husika na kwa hako kamtaji kidogo...
natanguliza shukurani kwa ushauri wako
Migagi ndiyo mmea gani ama mmea jamii gani, maana sijawahi kuusikia mkuu.Lima migagi una uza DSM kuna wachina wanatengezea dawa za nguvu za kiume
Ahsante ndugu Ako, vp Viazi vinaitaji mvua san?, na mtaji huo wa 3m unafaa kwa hekari ngapi rafiki..Bei ya viazi inategemea na aina ya viazi unavyolima. Kwa sasa bei ya chini kabisa ni sh 50,000 kwa gunia likiwa shambani (kiazi aina ya Alika) na ya juu ni 75,000 (Tigo). Kila aina ya kiazi ina bei yake.
Hapo ndio tatizo sasa..na huyo mtu sijui naweza kukubaliana nae nimlipe vipi..labda kwamba nimlipe baada ya kuvuna..na ni Tsh ngapi kwa msimu...cjuiKwa 3m Usangu unaweza kulima mpaka ekari sita, kuanzia kukodi shamba, kulima, mbolea, mbegu na palizi. Ila inabidi upate mtu mwaminifu. Na mavuno ni kuanzia gunia 15 kwa ekari kwenda juu
Hiyo fedha inajumlisha na hela ya msimamizi. Mpunga sio gharama kama tunavyouwazia mchele. Nikisema msimamizi mzuri namaanisha asije akasema kaweka mbolea kumbe hola!! Manake ni component muhimu sana!!Hapo ndio tatizo sasa..na huyo mtu sijui naweza kukubaliana nae nimlipe vipi..labda kwamba nimlipe baada ya kuvuna..na ni Tsh ngapi kwa msimu...cjui
Anhaa..ahsante ndugu Ako, mambo mengine yamuhimu kama kuweka mbolea n.k...nakuwepo mwenyewe.Hiyo fedha inajumlisha na hela ya msimamizi. Mpunga sio gharama kama tunavyouwazia mchele. Nikisema msimamizi mzuri namaanisha asije akasema kaweka mbolea kumbe hola!! Manake ni component muhimu sana!!
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Unaweza kuuza mpunga au ukakoboa uuze mchele. Bei inategemea na msimu, wakati wa mavuno inakuwa chini, lakini kama utavumilia huwa inapanda vizuri tu.Anhaa..ahsante ndugu Ako, mambo mengine yamuhimu kama kuweka mbolea n.k...nakuwepo mwenyewe.
Naomba nifahamishe bei ya mchele/mpunga kwa gunia ikoje...je, nauza mpunga au mchele?
Pia msimu wa kupanda mpunga ni upi...Nashkuru tena
Ahsante ndugu @saab, changamoto ya kufuga sina eneo la kufugia kwasababu naishi geto...labda niangalie hasa nitalima nini...Ukiona vipi fanya mpango ufuge Hata kuku, mbuzi, au ng'ombe wa maziwa, kwa uzoefu Wangu kazi za Kulima huku unamtumia mtu hela kwa simu zinasumbua na usipokua makini utalizwa ,na unapotaka kilimo fanya tafiti za masoko uangalie bidhaa gani inakuaga adimu kuanzia miezi ya 7,8 nk usije ukaingia mkenge ulime mazao ambao wengi wamelima utapata hasara
Wapi mbegu zake?Lima migagi una uza DSM kuna wachina wanatengezea dawa za nguvu za kiume
Ahsante mkuu...nilifikiria hasa nilime kiazi, labda naomba unifahamishe bei ya gunia la viazi nikiasi gani...HiZo takwimu ni fake ilo la kwanza price ya viazi imeshuka sn this year...pili mahindi hupati gunia hizo kwa eka ...nipo mbeya ...uyole hapa unapenda kulima nini wewe