Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 12,195
- 17,638
Nimeipenda hii. At least umekuwa muwazi. Ila kwa kizazi hi cha wa KKK ni wangapi wanaweza tumia hizo njia mbadala ulizoanduka?Curious gal kwenye hiyo picha ni wewe? Ndio inawezekana kutoshiriki. Mwanaume ana njia nyingi za kumuwezesha kukojoa ikiwa ni pamoja na kusugua mjusi wake kwenye matiti ya mwanamke. Sio lazima aingize nyoka pangoni ndio akojoe...
huo mtihani ni mgumu sana.....ukija oa jike dume je?? lazima mkaguane.........japo ni jambo jema kusubiri.......wengine wakiwa wawili wanapeana moyo.....but wakitawanyika kila mmoja anaende kujikuna kivyake....




hiyo sentensi ya mwisho nimecheka.Utengano ni udhaifuha ha ha UMOJA NI NGUVU