Curious gal
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 3,200
- 4,010
- Thread starter
- #41
Aiseee wadada kazi tunayoYeah kutokana na nature yetu wanaume kwa hisia za kimwili inakuwa ngumu muda mwingine...ndio maana wanaoweza wachache 2/10
Aiseee wadada kazi tunayoYeah kutokana na nature yetu wanaume kwa hisia za kimwili inakuwa ngumu muda mwingine...ndio maana wanaoweza wachache 2/10
Namaanisha hivi:,- yaan mwanamke awe ashafanywa fanywa hapo awali kwangu aje aseme tusubili hadi ndoa??? How comes???....naweza kubali kama yuko sealed otherwise hapana kwakwelHapo kwenye kutolewa utepe sijui ni ngumu kwa kuwa nayo kwa kweli........kwahiyo unamaanisha ni vigumu kwa mwanaume kuvumila muda wote huo
Kiuhalisia ni ngumu sana ila nilishangaa kuna mtu aliniambia rafiki yake anaolewa bila kufanya hiyo kituHapana,wapo wanaoweza kutumiza ahadi zao lakini siwengi kihivyo.(walio wengi wanacheza rafu )
Kama mahusiano yenu mumeyawake katika hali ya uwazi na ukweli kwa kila jambo hili la hadi ndoa linawezekana,
Sasa hebu jiulize kizazi hiki kweli Kuna umanifu na uwazi katika mahusiano....?
Mmmmmhhhh kazi ipo kwa sisi wadadaNamaanisha hivi:,- yaan mwanamke awe ashafanywa fanywa hapo awali kwangu aje aseme tusubili hadi ndoa??? How comes???....naweza kubali kama yuko sealed otherwise hapana kwakwel
Kama n sealed haina shida ila kama haipo basi hakuna kusublMmmmmhhhh kazi ipo kwa sisi wadada
YeahAiseee wadada kazi tunayo
What if akakuambia hajawahi sex then after marriage ndo ukagundua amekudanganyaKama n sealed haina shida ila kama haipo basi hakuna kusubl
hakuna ukweli ktk hilo,,,,sio miaka hii ya dot com......Mbona kuna mtu aliniambia kuna rafiki yake anaolewa na mtu ambae hawajawahi hata siku moja kufanya nae hilo tendo? Au inawezekana amemficha ukweli
Heheheheheeee hayahakuna ukweli ktk hilo,,,,sio miaka hii ya dot com......
Aiseee hapo lazima vumbi litimke kwenye mvua,watanirudishia mahari yanguWhat if akakuambia hajawahi sex then after marriage ndo ukagundua amekudanganya
Hahahahhahahaaaaaaa umenifurahisha kwa kweli.......wakwe watajutraaaAiseee hapo lazima vumbi litimke kwenye mvua,watanirudishia mahari yangu
Sent using Jamii Forums mobile app