Mbona nasikia kuna wengine wanavumilia mpaka ndoa au ndo tunadanganyana wasichanaKwa dunia ilivyo saivi, testing is all I can advise. Huwezi kusubiri wakati mtu unayesubiria alishachezea milupo ya kutosha. I'd rather test "kina" cha maji nijue pakoje.
Mambo ya kusubiri yalikuwepo zamani huko, watu walikuwa waaminifu, leo hii waweza sibiri mwanaume/mwanamke aliyetembea na watu kumi kabla, sijui hapo unachosubiri ni kitu gani haswa.
Hahahahahahaaaaa my ribsNiliwaacha wadada wa masharti ya hivo na hadi leo hii wanagongwa mbolo kama hawana akili nzuri ,wengi wao hawajaolewa na wengine wameishia kuzalishwa hadi wana mimba ya mtoto wa pili na tatu wa mbolo fupi, nene ,nyembamba na ndefu. Ni muhimu kujua
Aiseeee kumbe ndo uwa inakuwaga hivoUkiona mtu anakubali hiyo condition elewa kuwa anasehemu anapiga kama kawaida.
Kuwezekana inawezekana . Lakin match za nje zitakuwepo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana ndo kwanza natarajia kuanza form 1
Hahahahahaaaaa wahenga uwa hawashindwi kitu
Okay
YahKwa msemo wa "hakuna kinachoshindikana chini ya jua" yawezekana wakawepo watu wa sampuli hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
OkayInategemeana mtu na mtu
Ndo maana siku hizi wasichana wengi wanaolewa wakiwa na mimba......okayKwa huuu ulimwengu wa .com hiyo kitu haiwezekani aisee..hasa linapokuja swala la uzazi watoto wa kike wengi siku hizi wanachoropoa mimba mpaka basi sasa bila kutest kama ana uwezo wa kuzaa si itakuwa kama kuuziwa mbuzi kwenye gunia..mimi nilianza process za kutoa mahali bada ya kuona mtu ameanza kutematema mate na Kula embe mbichi....
Ndo maana siku hizi wasichana wengi wanaolewa wakiwa na mimba......okay
We experience yako ikoje...umeolewa au bado..na kama umeolewa je mlionjana kwanza au...Ndo maana siku hizi wasichana wengi wanaolewa wakiwa na mimba......okay
Unaomba nyuma kufanyaje?mmh naomba nyuma eeh, sio kwa avatar hiyo jmn Curious gal
Bado sijaolewaWe experience yako ikoje...umeolewa au bado..na kama umeolewa je mlionjana kwanza au...
Kwa hyo bado mnaonjanaBado sijaolewa