Naomba mnisaidie kuhusu hili

Naomba mnisaidie kuhusu hili

Baada ya kutumiana kwa muda tu....

Wengine wakikubaliana na wewe juwa mechi za michangani zinapigwa
Hahahahahahaaaa ila nyinyi wanaume ndo mna tabia hizo ila sisi wala hatuna shida...........tatizo hamna moyo wa kusubiria
 
Kama mwanamke hajatolewa utando wake Mwanaume anaweza kumusikiliza na akajikaza hadi ndoa.

Lakini kama ni vinginevyo...ngumu sana mwanaume kuvumilia.
Mbona nasikia kuna wanaume wengine uwa wanafanya sex after marriage au uwa tunadanganyana sisi wasichana
 
Tatizo naona lipo kwa wanaume ila kwa sisi wadada hatuna hilo tatizo tuna moyo wa kuvumilia sana
Nyie ndo hamuwezi kabsa kutokana na tamaa zilizo watawala maana Ke akipata tatzo tuuuu kidgo hawez kuvumillia
 
Ntakujuaje kama ni mwanamke maana kuna mtu alioa mwanaume mwenzake na ndoa akaibariki shekhe sasa serikali inamtafuta kama wezi wa kibiti
Hahahahahahahaaaa ila hapa ninachosema ni kuwa wote wawili mnakuwa mnajua vizuri tu sema ndo mnaambiana kwamba no sex kabla ya ndoa.....ina maana hili haliwezekani?
 
Mbona nasikia kuna wanaume wengine uwa wanafanya sex after marriage au uwa tunadanganyana sisi wasichana
Siwezi kusema hawapo..lakini ni wachache mno.

Mwanaume rijali kumaliza mwaka bila tendo ni shughuli pevu labda kama ndoto zilizolowa zinakutembelea sana.
 
Siwezi kusema hawapo..lakini ni wachache mno.

Mwanaume rijali kumaliza mwaka bila tendo ni shughuli pevu labda kama ndoto zilizolowa zinakutembelea sana.
Kwahiyo unataka kusema kama mwanamke ameahidiwa na mtu wake wasifanye hivo mpaka ndoa hapo ina maana mdada atakuwa anadanganywa tu
 
Hata me wapo wenye uvumilivu ila kama hujatolewa utepe....ila kama ushatolewa huko...afu uje umwambie akusubir hiyo ngumu
Hapo kwenye kutolewa utepe sijui ni ngumu kwa kuwa nayo kwa kweli........kwahiyo unamaanisha ni vigumu kwa mwanaume kuvumila muda wote huo
 
Kwahiyo unataka kusema kama mwanamke ameahidiwa na mtu wake wasifanye hivo mpaka ndoa hapo ina maana mdada atakuwa anadanganywa tu
Hapana,wapo wanaoweza kutumiza ahadi zao lakini siwengi kihivyo.(walio wengi wanacheza rafu )

Kama mahusiano yenu mumeyawake katika hali ya uwazi na ukweli kwa kila jambo hili la hadi ndoa linawezekana,

Sasa hebu jiulize kizazi hiki kweli Kuna uamanifu na uwazi katika mahusiano....?
 
Back
Top Bottom