Naomba mbinu za kupunguza uzito kwa haraka

Intermittent fasting uki combine na Keto halafu usijue mpangilio wa vyakula atachoka mno.

Ningeshauri aanze na fasts za 8-12 hours huku akiongeza mdogo mdogo halafu zile fast windows zizodi Kupungua then anaweza kuchagua OMAD( One Meal A Day) ama keto whichever suits him.
Yeah nilikuwa naspend hours researching what, why & how to eat.

Wengi wetu kusoma wavivu so aanze tu hivyo mdogo mdogo
 
Intermittent fasting uki combine na Keto halafu usijue mpangilio wa vyakula atachoka mno.

Ningeshauri aanze na fasts za 8-12 hours huku akiongeza mdogo mdogo halafu zile fast windows zizodi Kupungua then anaweza kuchagua OMAD( One Meal A Day) ama keto whichever suits him.
Autophagy benefits zinaanzia baada ya 24hrs of fasting.

So atleast afunge kuanzia 18hrs&above.
 
Nashukuru mkuu umeniongezea kitu, sitaki kutumia dawa, nahitaji nipungue kwa mazoezi tu, nitatumia warm water with lemon, kila asubuhi!
Labda nikuambie kitu kimoja kwamba Mazoezi hayajawai saidia mtu kupungua uzito moja kwa moja... Mazoezo yanafanya zoezi zima la kupungua mwili kuenda kwa haraka.... Uzito mkubwa au mwili kuongezeka kunasababishwa na Hormones na hormones pekee ndizo zitakazo kufanya upungue.

kwa kifupi kwa uzito huo ulionao unaugonjwa(metabolic disorder) uanoitwa Isulin Resistance... Lazima utibu ugojwa huu kwanza na kisha mengine yote yatafuta......

Ngoja niishie hapa kwanza
 
Labda nikuambie kitu kimoja kwamba Mazoezi hayajawai saidia mtu kupungua uzito moja kwa moja... Mazoezo yanafanya zoezi zima la kupungua mwili kuenda kwa haraka.... Uzito mkubwa au mwili kuongezeka kunasababishwa na Hormones na hormones pekee ndizo zitakazo kufanya upungue.

kwa kifupi kwa uzito huo ulionao unaugonjwa(metabolic disorder) uanoitwa Isulin Resistance... Lazima utibu ugojwa huu kwanza na kisha mengine yote yatafuta......

Ngoja niishie hapa kwanza
"Insulin resistance".

Big up bro,unajua unachokiongea kwa 100%.

Say hello to Dr. Jason Fung.
 
Labda nikuambie kitu kimoja kwamba Mazoezi hayajawai saidia mtu kupungua uzito moja kwa moja... Mazoezo yanafanya zoezi zima la kupungua mwili kuenda kwa haraka.... Uzito mkubwa au mwili kuongezeka kunasababishwa na Hormones na hormones pekee ndizo zitakazo kufanya upungue.

kwa kifupi kwa uzito huo ulionao unaugonjwa(metabolic disorder) uanoitwa Isulin Resistance... Lazima utibu ugojwa huu kwanza na kisha mengine yote yatafuta......

Ngoja niishie hapa kwanza
Tunautibu vp mkuu!?
 
Back
Top Bottom