Naomba mazishi yangu yawe Jf

Naomba mazishi yangu yawe Jf

Tutajuaje kama Umekufa?

Si unajua Broadcasting inataka pesa,LIPIA KABISA huduma yako

maana hii huduma sio charity kwahyo ukitanguliza malipo ya kazi yako ingependeza mkuu

nawasilisha...Malipo uje PM nkupe account ya malipo ya huduma na ticket no.
 
Inamaana jf haithamini member wake?
Inathamini, vigezo na masharti huzingatiwa kama Kuna watu unafahamiana nao humu ukifa wanapeleka taarifa kwa moderators then Id yako inabadilika kuwa RIP
 
Inathamini, vigezo na masharti huzingatiwa kama Kuna watu unafahamiana nao humu ukifa wanapeleka taarifa kwa moderators then Id yako inabadilika kuwa RIP
Kuonesha live mazishi yangu
 
Kikubwa mawasiliano.

Je umeshaweka uwanja mpana wa member wa humu kujua au kujulishwa ikitokea umededi.
 
Back
Top Bottom