Naomba mama Samia atende haki. Kumtumbua Gekul unaibu waziri na kumuacha huyu waziri haipendezi

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,563
50,415
Gekul ametumbuliwa unaibu waziri baada ya kutenda yasiyofaa katk jamii. Ni sawa.

Vipi huyu anayetukana watu hovyo kama mlevi? Ni sawa kuendelea kukikalia kiti cha uwaziri au aondolewe?

Waziri ni kioo cha rais. Sasa kama kila siku waziri anatukana hovyo mitandaoni tafsiri yake ni kwamba anamchafua mhe rais.

Screenshot_20231214-153921.png


N.B. Naomba ndugu msomaji utuwekee tusi jingine alilolitoa Nape.
 
Gekul ametumbuliwa unaibu waziri baada ya kutenda yasiyofaa katk jamii. Ni sawa.

Vipi huyu anayetukana watu hovyo kama mlevi? Ni sawa kuendelea kukikalia kiti cha uwaziri au aondolewe?

Waziri ni kioo cha rais. Sasa kama kila siku waziri anatukana hovyo mitandaoni tafsiri yake ni kwamba anamchafua mhe rais.

View attachment 2842446

N.B. Naomba ndugu msomaji utuwekee tusi jingine alilolitoa Nape.
Huu ni upumbavu mkubwa mliokuja nao Chadema kwa sasa!
Kwamba mnaunda Cartel's kuwachokoza watu mitandaoni hususan wale msiowapenda halafu mnaanza upumbavu wa kutaka wajiuzuru wakati nyinyi kina Boni Mayai ndio mlioanza chokochoko!

Chadema mtabaki hivyo mpaka mwisho wa Dunia.Hakuna mpiga kura mwenye kujitambua anayeweza kupoteza muda wake na nyinyi wapuuzi wenye Roho za visasi mpaka kwenye kucha.
 
Gekul ametumbuliwa unaibu waziri baada ya kutenda yasiyofaa katk jamii. Ni sawa.

Vipi huyu anayetukana watu hovyo kama mlevi? Ni sawa kuendelea kukikalia kiti cha uwaziri au aondolewe?

Waziri ni kioo cha rais. Sasa kama kila siku waziri anatukana hovyo mitandaoni tafsiri yake ni kwamba anamchafua mhe rais.

View attachment 2842446

N.B. Naomba ndugu msomaji utuwekee tusi jingine alilolitoa Nape.
Yanazungumzika!
 
Mnamchokoza wenyewe mheshimiwa

Sawa alikosea ,alifeli ila watu hubadilikaa, hujifunza kwa makosa yao na within time huwa better persons.

Mnamkera acheni awakere
 
Gekul ametumbuliwa unaibu waziri baada ya kutenda yasiyofaa katk jamii. Ni sawa.

Vipi huyu anayetukana watu hovyo kama mlevi? Ni sawa kuendelea kukikalia kiti cha uwaziri au aondolewe?

Waziri ni kioo cha rais. Sasa kama kila siku waziri anatukana hovyo mitandaoni tafsiri yake ni kwamba anamchafua mhe rais.

View attachment 2842446

N.B. Naomba ndugu msomaji utuwekee tusi jingine alilolitoa Nape.
Nape aende!
 
Niliacha kumuamini huyo Mh kwa kushiriki kwenye kuminya uhuru wa vyombo vya habari
 
Gekul ametumbuliwa unaibu waziri baada ya kutenda yasiyofaa katk jamii. Ni sawa.
Vipi huyu anayetukana watu hovyo kama mlevi? Ni sawa kuendelea kukikalia kiti cha uwaziri au aondolewe?

Waziri ni kioo cha rais. Sasa kama kila siku waziri anatukana hovyo mitandaoni tafsiri yake ni kwamba anamchafua mhe rais.

View attachment 2842446

N.B. Naomba ndugu msomaji utuwekee tusi jingine alilolitoa Nape.
Kuna nchi nilikuwa nimeenda miaka ya huko nyuma na nilipita karibu na duka fulani lenye jina "Anything Goes" na hili jina lina maana hata hapa kwetu.
 
Gekul ametumbuliwa unaibu waziri baada ya kutenda yasiyofaa katk jamii. Ni sawa.

Vipi huyu anayetukana watu hovyo kama mlevi? Ni sawa kuendelea kukikalia kiti cha uwaziri au aondolewe?

Waziri ni kioo cha rais. Sasa kama kila siku waziri anatukana hovyo mitandaoni tafsiri yake ni kwamba anamchafua mhe rais.

View attachment 2842446

N.B. Naomba ndugu msomaji utuwekee tusi jingine alilolitoa Nape.
Tusi liko wapi hapo?
 
Back
Top Bottom