L Livejr JF-Expert Member Feb 6, 2014 2,068 2,792 Aug 4, 2014 #1 Wakuu poleni na majukumu. naomba kufahamishwa au kujuzwa maana ya neno "TAHOJIA"
Nyani Ngabu Platinum Member May 15, 2006 92,211 113,520 Aug 4, 2014 #2 Livejr said: Wakuu poleni na majukumu. naomba kufahamishwa au kujuzwa maana ya neno "TAHOJIA" Click to expand... Tahojia au 'tahajia'? Kama ni 'tahajia' basi maana yake ni spelling, kwa Kiingereza (kama hiyo itakusaidia kujua maana yake).
Livejr said: Wakuu poleni na majukumu. naomba kufahamishwa au kujuzwa maana ya neno "TAHOJIA" Click to expand... Tahojia au 'tahajia'? Kama ni 'tahajia' basi maana yake ni spelling, kwa Kiingereza (kama hiyo itakusaidia kujua maana yake).
steveson manumbu JF-Expert Member Apr 1, 2014 887 175 Sep 4, 2014 #3 Nyani Ngabu said: Tahojia au 'tahajia'? Kama ni 'tahajia' basi maana yake ni spelling, kwa Kiingereza (kama hiyo itakusaidia kujua maana yake). Click to expand... hujatoa maana au fasiri ya neno bali umetoa tafsiri mkuu ya neno.
Nyani Ngabu said: Tahojia au 'tahajia'? Kama ni 'tahajia' basi maana yake ni spelling, kwa Kiingereza (kama hiyo itakusaidia kujua maana yake). Click to expand... hujatoa maana au fasiri ya neno bali umetoa tafsiri mkuu ya neno.
steveson manumbu JF-Expert Member Apr 1, 2014 887 175 Sep 4, 2014 #4 TAHAJIA ni uwakilishaji wa sauti za herufi za maneno katika maandishi.
balimar JF-Expert Member Sep 18, 2015 7,561 13,274 Apr 12, 2019 #5 Utamshi wa maneno kama inavyokubalika