TheMeek
JF-Expert Member
- Mar 12, 2016
- 460
- 397
Ndugu Wanajamvi,
Tafadhali , naomba kuuliza kuhusu utaratibu wa kupokea pesa zilizotumwa kwa njia ya Western Union.
Kiufupi, nimetumiwa pesa kutoka Marekani; aliyetuma kasema katuma check. Pia akaniambia niende Branch yeyote ya Western Union Bank hapa nchini kuzichukua. Akasema nikifika na kuwatajia Jina langu + kuwa na vitambulisho , watanipa Fedha hizo.
Hakunipa Security Code Number (MTCN) wala Test Question/Answer.
Nimejaribu kwenda Postal Office hapa wilayani...wakaniambia haiwezekani bila kuwa na MTCN. Nikaamua kwenda mkoani Bank ya Postal, nikapewa jibu hilo hilo.
Nimejaribu kumpa mtumaji taarifa hizi kaniambia , njia aliyonitumia hizo pesa haiitaji kuwa na Security Code Number...,
Wadau naomba kuuliza maswali yafuatayo;-
1. Je hapa Tanzania hasa Mkoa wa Mwanza , kuna Bank ya Western Union? ( au ni mawakala tu)
2. Je ninaweza kuzipata hizo pesa pasipo kuwa na Security Code Number?
3. Nisaidieni ni sehemu gani Mwanza nikienda naweza kuzipata pasipo kuwa na Security Code Number.
4. Je ninaweza kuzipata pesa Hizo kwa kuwa na vimbulisho, Jina la mtumaji, mahali zinapotoka na Jina langu?
Huyu aliyenitumia amenitumia meseji muda sio mrefu anataka nimwambie kama bado Western Union Bank wananisumbua,; Nimeshindwa kumpa jibu...,
Tafadhali, Naombeni mawazo yenu...
Tafadhali , naomba kuuliza kuhusu utaratibu wa kupokea pesa zilizotumwa kwa njia ya Western Union.
Kiufupi, nimetumiwa pesa kutoka Marekani; aliyetuma kasema katuma check. Pia akaniambia niende Branch yeyote ya Western Union Bank hapa nchini kuzichukua. Akasema nikifika na kuwatajia Jina langu + kuwa na vitambulisho , watanipa Fedha hizo.
Hakunipa Security Code Number (MTCN) wala Test Question/Answer.
Nimejaribu kwenda Postal Office hapa wilayani...wakaniambia haiwezekani bila kuwa na MTCN. Nikaamua kwenda mkoani Bank ya Postal, nikapewa jibu hilo hilo.
Nimejaribu kumpa mtumaji taarifa hizi kaniambia , njia aliyonitumia hizo pesa haiitaji kuwa na Security Code Number...,
Wadau naomba kuuliza maswali yafuatayo;-
1. Je hapa Tanzania hasa Mkoa wa Mwanza , kuna Bank ya Western Union? ( au ni mawakala tu)
2. Je ninaweza kuzipata hizo pesa pasipo kuwa na Security Code Number?
3. Nisaidieni ni sehemu gani Mwanza nikienda naweza kuzipata pasipo kuwa na Security Code Number.
4. Je ninaweza kuzipata pesa Hizo kwa kuwa na vimbulisho, Jina la mtumaji, mahali zinapotoka na Jina langu?
Huyu aliyenitumia amenitumia meseji muda sio mrefu anataka nimwambie kama bado Western Union Bank wananisumbua,; Nimeshindwa kumpa jibu...,
Tafadhali, Naombeni mawazo yenu...