engine search
Senior Member
- Jan 4, 2020
- 174
- 89
Hakika Haya maneno yananisumbua kuyaelezea kwa tafsiri sahihi.
Naishia kusema tu mtu ni binadamu na binadamu ni Mtu.
Karibuni wataharamu wa lugha. Munisaidie Kunipa tofauti Ya haya Maneno.
Asante
Naishia kusema tu mtu ni binadamu na binadamu ni Mtu.
Karibuni wataharamu wa lugha. Munisaidie Kunipa tofauti Ya haya Maneno.
Asante