johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,146
Mbunge wa zamani huko Monduli hayati Sokoine aliwahi kusema Ukiona Binadamu anamsifia Binadamu badala ya Mungu ujue ana ajenda ya Siri.
Sokoine alisema Sifa na Shukrani ni kwa Mungu bali kwenye Siasa kuna kupongezana kwa ama Matendo mazuri au Uwajibikaji uliotukuka.
Sidhani kama Moringe angekuwepo leo angeyarudia maneno haya, pale Chadema wasingemuelewa kabisa.
Nawatakia Sabato Njema 😄
Sokoine alisema Sifa na Shukrani ni kwa Mungu bali kwenye Siasa kuna kupongezana kwa ama Matendo mazuri au Uwajibikaji uliotukuka.
Sidhani kama Moringe angekuwepo leo angeyarudia maneno haya, pale Chadema wasingemuelewa kabisa.
Nawatakia Sabato Njema 😄