Habari waheshimiwa!!Hakika Haya maneno yananisumbua kuyaelezea kwa tafsiri sahihi.
Naishia kusema tu mtu ni binadamu na binadamu ni Mtu.
Karibuni wataharamu wa lugha. Munisaidie Kunipa tofauti Ya haya Maneno.
Asante
Oouh...mtu-person
Binadamu-Human Being
watu wote ni Binadamu ila sio kila binadamu ni mtu...
Mtu ni binadam mwenye utu,A human being with personality.
Mtoto mchanga ni binadam maana anapumua ana miguu miwili vidole kumi macho mawili pua moja lakini sio Mtu maana bado hajadevelop personality(utu)
Nami napenda kuchangia kwa haya maneno haya mawili ;mtu na binadamuHakika Haya maneno yananisumbua kuyaelezea kwa tafsiri sahihi.
Naishia kusema tu mtu ni binadamu na binadamu ni Mtu.
Karibuni wataharamu wa lugha. Munisaidie Kunipa tofauti Ya haya Maneno.
Asante