Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,275
- 31,404
Kwani daktari wa macho ulikuws hujui wanaitwsje?Aisee hii mpya kwangu
Kwani daktari wa macho ulikuws hujui wanaitwsje?Aisee hii mpya kwangu
Mkuu Chama cha Madaktari/Madaktri meno na Wote allied science wnaingia kwenye MCT..Hivi watu wenye degree ya optometry wana chama Chao kama ilivyo MCT??
na je wanatambulikaje kama ilivyo MD...wanaanza na neno Dr,vipi kwa upande wa optometry?
Sasa hao AMO wa bachelor kwann walipwe mishahara sawa na hawa AMO wa miaka2 wakati tofauti ipo?Mkuu Chama cha Madaktari/Madaktri meno na Wote allied science wnaingia kwenye MCT..
Hapna Hawaanzi Kwa prefux ya Doctor ila kwa sasa wanaoanza na prefix hiyo ni AMO (wa bachelor ya sio Wa advance dip) ,MD/MBBS. Bhasi
Bado kuna kesi zinaendelea kusikilizwa huko MCT japo najua hawawezi kushinda..Maana sana concern kama yako hivyo hivyo.?Sasa hao AMO wa bachelor kwann walipwe mishahara sawa na hawa AMO wa miaka2 wakati tofauti ipo?
Hela ndogo jamani si bora nikawe mfanyabiashara kariakooCourse zote za MMED ndo zinapelekwa kwenye TGHS G ila Zingine Za Msc zinapelekwa TGHS F...
Kwahyo MD atatoka kwenye TGHS E kwenda F ...
Ila mara nyingi wanaosoma hizo vitu wanakuwa Ma-DMO au Ma-RMO au wameahidiwa hivyo vyeo ....
Kwahyo wanacheza kwenye 1.8Mil na ushenzi hivi inaweza ikafika 1.8mil na elfu 40 au elfu 50
View attachment 2778096
Mkuu Serkali hiyo pesa ni kubwa sana maana 2.4 mil so ndogoHela ndogo jamani si bora nikawe mfanyabiashara kariakoo
Hahaha ...Mkuu Serkali hiyo pesa ni kubwa sana maana 2.4 mil so ndogo
Mkuu naona mambo yamebadilikaHapana mkuu Sio Daktari..
Anafahamika kama Afisa Technolojia kama walivyo Wataalamu wa Maabara,Viungo bandia na Wataalamu wa mionzi...
Daktari ni Mwenye Bachelor Ya MBBS au MD
Hapo kwenye Number 3...Ophthalmologist ni dakari (Aliyemaliza bachelor na kuamua kwenda kuchukua Master ya Opthalmology)...
Kuhusu Mshahara wa Afisa Technoljia Macho (mwenye bachelor ya Optometry) Ataanza na mshahra wa Scale ya TGHS C ......
Ambao kwa mshahara wa Mwaka 2015 ilikuwa ni basic 980,000/= baada ya ongezeko Nadhani wanachukua 1mil na ushee ikiwa ni basic...
View attachment 2777201
Hii umetoa wapi mkuu Nahisi wameajiriwa kwenye Mashiriki ila sio Tamisemi na Wizara 😅😅Mkuu naona mambo yamebadilikaView attachment 2787146
Ni wizara mkuu, tena ajira mpya zimetoka leo, ila kwa hapo hao wa viungo bandia sidhani kama watapata huyo mwenye degree, maana diploma chuo kipo kimoja wanachukua kwa mwaka around 15 na hapo 1/3 ni raia wa nje.Hii umetoa wapi mkuu Nahisi wameajiriwa kwenye Mashiriki ila sio Tamisemi na Wizara
Wapo viungo bandia mkuu Na nimepitia hiyo Pdf Hakika vijana wachangamkie maana wakija TAMISEMI ni mwendo wa TGHS C kwahyo kama Wapo Bora wawahi WIZRA WAKO VIZURI SANA SCALE ZAO ILA KWA TAMISEMI BADO HAWAJAREKEBISHA...Ni wizara mkuu, tena ajira mpya zimetoka leo, ila kwa hapo hao wa viungo bandia sidhani kama watapata huyo mwenye degree, maana diploma chuo kipo kimoja wanachukua kwa mwaka around 15 na hapo 1/3 ni raia wa nje.
Ila sio sawa kuwalipa TGHS C kwa kozi zile ambazo wanasoma miaka minne kama nursing, optometry, physiotherapy nkWapo viungo bandia mkuu Na nimepitia hiyo Pdf Hakika vijana wachangamkie maana wakija TAMISEMI ni mwendo wa TGHS C kwahyo kama Wapo Bora wawahi WIZRA WAKO VIZURI SANA SCALE ZAO ILA KWA TAMISEMI BADO HAWAJAREKEBISHA...
Tamisemi WATEMI HUKO HahahaIla sio sawa kuwalipa TGHS C kwa kozi zile ambazo wanasoma miaka minne kama nursing, optometry, physiotherapy nk
Wawekwe kwenye TGHS D
Kwahio mkuu hata mwenye degree ya macho sasa atapata mshahara TGHS E kama MD?? kwa mujibu wa wizara ?Tamisemi WATEMI HUKO Hahaha
YesKwahio mkuu hata mwenye degree ya macho sasa atapata mshahara TGHS E kama MD?? kwa mujibu wa wizara ?