MCHAFU1417
Member
- Mar 15, 2022
- 52
- 41
Mimi ni muhitimu wa degree ya Mipango na Usimamizi wa Mazingira niliyohitimu mwaka 2022. Ni mkazi wa Dar es salaam.
Ninaomba mwenye fursa ya kunisaidia kupata kazi ya aina yoyote nipo tayari kuifanya naomba wakuu tusaidiane kwa mawasiliano zaidi namba ni hizi 0766031409
Ninaomba mwenye fursa ya kunisaidia kupata kazi ya aina yoyote nipo tayari kuifanya naomba wakuu tusaidiane kwa mawasiliano zaidi namba ni hizi 0766031409